butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,283
- 7,300
Huyu jamaa mbona anaonekana kama tapeli,ila ni wale ambao mpaka mcgunguze sana.Alafua anaonekana kashawazima.watu wengi ila anatumia kampuni kujitetea😂😂😂
Huyu jamaa mbona anaonekana kama tapeli,ila ni wale ambao mpaka mcgunguze sana.Alafua anaonekana kashawazima.watu wengi ila anatumia kampuni kujitetea😂😂😂
La msingi sio hasa "ushindi" wa kesi moja moja, bali ni kutimua vumbi la kutosha ndani na nje.Hivi kwa Tundu alishindaga au ndio tuendelee kuwasubiria di hegi🙄
Inavyoonekana porojo za aina hiyo zinakusaidiaga sana kupata japo lepe la usingizi.Mzungu ashaona fursa hapo, baada ya kuona Lisu kaishiwa sasa kahamia kwa Mbowe akapige kama alivyopiga za Lisu. Ukosefu wa elimu kwa baadhi ya viongozi wa vyama ndio umesababisha mtu kama Amsterdam apate mwanya wa kupiga hela za wasiokuwa na elimu kiulani.
kesi ipi vileee??Hivi kwa Tundu alishindaga au ndio tuendelee kuwasubiria di hegi🙄
Hata shetani alitumia Neno la Mungu kumjaribu Yesu.Shetani akasema Ikiwa wewe ni mwana Mungu Jitupe chini maana Imeandikwa ataakuagizia Malaika zake"
Tunaambiwa kuwa na subra maana.....
"Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi. Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu."
Tuwe na subra, kesi ikishaisha ndio tuseme
Mhubiri 7: 8 - 9
JPM si aliishahama nchi, au nyie bado mnamwona.Ile kesi ya kumpeleka JPM The Hague iliishia wapi? Au anafikiri tumesahau?
Mrejesho please.
Mkuu wewe, mimi na wengine tupo humu kwa lengo la kuhabarishana, kufundishana na hata kubishana kwa staha ili mradi hatuvunjiani heshima wala kuaibishana kwa namna yoyote hapa jamii forum. Kutofautiana vyama au itikadi ya vyama au kupishana mawazo isiwe sababu ya mtu kutengeneza chuki dhidi ya mungine, isiwe sababu ya mtu kuanza kumshambulia mungine kwa matusi au kwa maneno yasiofaa ambayo yataleta malumbano ndani ya uzi ulioanzishwa na matokeo yake mada iliyoletwa ionekane haina maana. Ukitaka kujua ni kwann nimeandika hayo matusi unayoita ya reja reja, na ni nani alieanza matusi basi soma post namba #40 kuja chini utaelewa. Pia kuna dada mungine kaanzisha huko juu na mimi nikamjibu kwa style ile ile aliyoanza nayo. Mbona ww umeandika kiustarabu na mimi nimekujibu kistarabu! Ni nani anaeweza kudhalilishwa na akakubali kudhalilika bila sababu?Jenga hoja, acha matusi ya bei rahisi. Tumia kichwa kufikiri
Jpm aliamua kukimbilia kuzimuIle kesi ya kumpeleka JPM The Hague iliishia wapi? Au anafikiri tumesahau?
Mrejesho please.
Kwanini asiruhusiwe kama kakidhi vigezo vya kua wakimataifa.?.Wako wanasheria wengi tu wakiafrika wamefanya hizo kazi uko nchi za wazungu.ata watanzania wapo.mfano wa karibu ni Nimrod mkono.Jielimishe.Hivi Kibatala anaweza kuruhusiwa kuingia na kutoka Mmarekani kumtetea Marekani ndani ya Mahakama ya Marekani ?
Waafrika sisi ni masokwe tusiojithamini.
Mkuu hata kusoma Kwenye hujui!Hiyo kesi haiko Bongo(Tanzania) Imefunguliwa na MBOWE Kwenye mahakama za kimataifa .Acha kukurupuka muwe mnasoma na kutafakariHuyo Amsterdam atapata mimba huku bongo, na ndicho anatafuta mbegu ya kikurya.
Umeelewa Lakini?Ngoja nikusaidie MBOWE alifungua kesi kimataifa siyo hapa Tanzania.Wakili msomi Kibatala kwani fupa limekuwa gumu amelitema?
Mshitakiwa alikuwa ni Magufuli ,Kabla ya kesi ya Mungu aliamua kutoa hukumu yake ya moja Kwa moja kutokana na matendo yake MAGUHahhahaha.. Chadema hawajifunzi tu?
Huyu alichangia sana anguko la Lisu kwenye uchaguzi mkuu 2020 leo tena atakuja kumpoteza kabisa Mbowe
Mshitakiwa alikuwa ni Magufuli ,Kabla ya kesi ya Mungu aliamua kutoa hukumu yake ya moja Kwa moja kutokana na matendo yake MAGU
Tueleze kiwango cha elimu yako mkuuMzungu ashaona fursa hapo, baada ya kuona Lisu kaishiwa sasa kahamia kwa Mbowe akapige kama alivyopiga za Lisu. Ukosefu wa elimu kwa baadhi ya viongozi wa vyama ndio umesababisha mtu kama Amsterdam apate mwanya wa kupiga hela za wasiokuwa na elimu kiulani.
Mbona hukumu alohukumiwa ni kubwa sana,hujaona je hata kusikia hujasikia?Ile kesi ya kumpeleka JPM The Hague iliishia wapi? Au anafikiri tumesahau?
Mrejesho please.
Heri nusu shari kuliko Shari nzima!Ahsante Mungu
Ndio maana watu wanawaona hamna akili!
Baada ya Magu kufariki mambo yenu yamekuwa safi ee?
Huwezi linganisha wanaonunuliwa na lowasa na wapigania hakiKwa wapambanaji wanaopigania Demokrasia, uhuru na haki kwa kila mtu, pamoja na haki zako, habari ya "kungojea" haipo. Ni ALUTA CONTINUA. Kama ni Neno la Mungu, hata makaburu walitumia, kimakosa, Biblia kuhalalisha ubaradhuli wao