Nigeria hiyo miaka ikapita, demokrasia ili rejea?!Nigeria iliwahi kuvuliwa uanachama kwa miska mitatu, ukivuliwa uwanachama hupati ile ruzuku ya maendeleo ya kila mwaka kutoka kwa nchi mama.
Hiyo siyo dawa, ang'olewe aliye leta tatizo.
Huwezi kuhukumu wasio husika, tatizo liletwe na mtu mmoja athari tupate wote?!