jambotemuv
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 224
- 62
Je? Hivi sheria zetu zinaruhusu AMRI ya mahakama kusitisha shughuli za NEC kwa manufaa ya usalama wa raia pindi ikipoke malalamiko halali? Naamini tuna kila aina ya ushahidi kuthibitisha Tume ina hatari ya kuhatarisha amani na usalama wa raia. Vile sheria zetu mbovu za uchaguzi zasema tume ikitangaza ndo basi, yafaa sana kuizuia kisheria kutangaza. Kina Marando mwasemaje?:thinking:.