nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Tumejionea kwenye taarifa ya habari ya ITV kuwa serikali imeamua kubomoa jengo la meneja wa TANROADS mkoa wa dsm lililopo ubungo kwa kuwa liko kwenye hifadhi ya barabara.
Sasa jengo la TANESCO nalo litabomolewa;amri ya Waziri Magufuli itailetea hasara kubwa serikali kwa kuwa majengo mengi yatabomolewa.
Je, sheria itekelezwe au isitekelezwe ili tuepuke hasara?
Sasa jengo la TANESCO nalo litabomolewa;amri ya Waziri Magufuli itailetea hasara kubwa serikali kwa kuwa majengo mengi yatabomolewa.
Je, sheria itekelezwe au isitekelezwe ili tuepuke hasara?