AMRI SUDI ANDANENGA "Sauti ya kiza"

s.crony

JF-Expert Member
Jul 25, 2012
1,286
458
Wadau kila siku najiuliza juu ya huyu mzee serilali yetu inawaenzi vp wazee km hawa, labda wenye ufahamu mdogo huyu mzee na wengine wengi ni magwiji wa kiswahili na ushairi.La kushangaza sijui hio BAKITA na serikali kwa ujumla inawaenzi vp, hakuna kuhifadhi kazi zao au hata kuwajali kidogo maishani? Au km kawaida tunasubiri wafe ndio tuwazike kwa heshima zote za serikali?
 
Huyu ni gwiji ambaye sidhani kama ana mpinzani nchini na pia Afrika Mashariki nzima. Kwa karibu sana ni kama Mzee Shaaban Robert. Tanzania hatujui kuenzi wataalam etu wa jadi, mara moja moja huwa wanamtumia tu wakitaka ulaji wa aina aina hapa na pale!

Najua kuwa katika miaka kumi ijayo atatokea mtu atakaye fanyia utafiti wa PhD ya kiswahili kuandika maandiko ya Amiri Sudi Andanenga "Sauti Ya Kiza" halafu siku mbili tatu unasikia ni mkuu wa BAKITA wakati kiswahili cha huyo mtu kipo hoi bin taabani! Kwani ndivyo walivyotumia maandiko ya Shaaban Robert kupata Udaktari wao wakati kiswahili hawakijui kabisa!

Sababu hizi ndiyo zimesababisha BAKITA isiwe na meno wala sauti, zaidi ya kukoroma kuroma hapa na pale utadhania mahututi anayehitaji maji!!!
 
Huyu ni gwiji ambaye sidhani kama ana mpinzani nchini na pia Afrika Mashariki nzima. Kwa karibu sana ni kama Mzee Shaaban Robert. Tanzania hatujui kuenzi wataalam etu wa jadi, mara moja moja huwa wanamtumia tu wakitaka ulaji wa aina aina hapa na pale!

Najua kuwa katika miaka kumi ijayo atatokea mtu atakaye fanyia utafiti wa PhD ya kiswahili kuandika maandiko ya Amiri Sudi Andanenga "Sauti Ya Kiza" halafu siku mbili tatu unasikia ni mkuu wa BAKITA wakati kiswahili cha huyo mtu kipo hoi bin taabani! Kwani ndivyo walivyotumia maandiko ya Shaaban Robert kupata Udaktari wao wakati kiswahili hawakijui kabisa!

Sababu hizi ndiyo zimesababisha BAKITA isiwe na meno wala sauti, zaidi ya kukoroma kuroma hapa na pale utadhania mahututi anayehitaji maji!!!

Kweli kabisa mkuu....niliwahi kutafuta mashairi ya "Mkadaru" nikaelekezwa pale BAKITA Anatoglu....hicho kiofisi tu hoi zaidi kuna vizee vinasoma magazeti ya zamani hata kujua ninapoweza kupata hivyo vijitabu walishindwa kuniambia walichoweza ni kunitoa buku 5 tu basi.....sijui hii nchi tunaendaje.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom