Amplifaya, Ni kipindi kinachomilikiwa na Millard au Clouds..?

mayowela

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
2,124
1,744
Kama sijakosea kipindi hiko kilianzishwa mwaka 2011 na kilijizolea umaarufu sana pia kikapata wadhamini wengi, Japo kwa sasa umaarufu wake sio kama awali kilipokuwa kinaanza, Na inasemekana ni kipindi ambacho kinaingiza mkwanja mrefu sana.

Sasa kipindi hiko nimekuwa nikikisikiliza nakubaini Habari zinazoluka hewani ndio habari ambazo ziko kwenye website ya Millard, Pia reporters wanaoripot kwenye vipindi ndio hao hao utawaona na kuwasikikliza kwenye you tube akaunti ya Millard, Pia jamaa muda mwinfi huandaa kipindi kwenye ofisi yake private.

Je Millard anagawana share ya pato linalopatikana kwenye kipindi na Clouds au Millard amenunua Airtime yote ya Kipindi hiko..?
 
Kama sijakosea kipindi hiko kilianzishwa mwaka 2011 na kilijizolea umaarufu sana pia kikapata wadhamini wengi, Japo kwa sasa umaarufu wake sio kama awali kilipokuwa kinaanza, Na inasemekana ni kipindi ambacho kinaingiza mkwanja mrefu sana.

Sasa kipindi hiko nimekuwa nikikisikiliza nakubaini Habari zinazoluka hewani ndio habari ambazo ziko kwenye website ya Millard, Pia reporters wanaoripot kwenye vipindi ndio hao hao utawaona na kuwasikikliza kwenye you tube akaunti ya Millard, Pia jamaa muda mwinfi huandaa kipindi kwenye ofisi yake private.

Je Millard anagawana share ya pato linalopatikana kwenye kipindi na Clouds au Millard amenunua Airtime yote ya Kipindi hiko..?

Ayo TV
Millardayo.com
Millard mwenye yupo under clouds
 
Amplifaya niya clouds
Kama sijakosea kipindi hiko kilianzishwa mwaka 2011 na kilijizolea umaarufu sana pia kikapata wadhamini wengi, Japo kwa sasa umaarufu wake sio kama awali kilipokuwa kinaanza, Na inasemekana ni kipindi ambacho kinaingiza mkwanja mrefu sana.

Sasa kipindi hiko nimekuwa nikikisikiliza nakubaini Habari zinazoluka hewani ndio habari ambazo ziko kwenye website ya Millard, Pia reporters wanaoripot kwenye vipindi ndio hao hao utawaona na kuwasikikliza kwenye you tube akaunti ya Millard, Pia jamaa muda mwinfi huandaa kipindi kwenye ofisi yake private.

Je Millard anagawana share ya pato linalopatikana kwenye kipindi na Clouds au Millard amenunua Airtime yote ya Kipindi hiko..?
 
Hapan hiyo sio kipindi chake,kinachofanyika hapo ni kuwa mkurugenz wa vipindi anacollect ideas then anamselect host wa kipindi huska,kinachotokea kipindi kikiwa na wadhamini wengi basi host anakiwa na 20% out of wages,milard anaweka habari kwenye website zake kwa ajili ya kutengeza brand yake yeye kama yeye,pesa pekeee ambayo milard anakulà ni YouTube na Millard. Com,povu ruksa
 
Hapan hiyo sio kipindi chake,kinachofanyika hapo ni kuwa mkurugenz wa vipindi anacollect ideas then anamselect host wa kipindi huska,kinachotokea kipindi kikiwa na wadhamini wengi basi host anakiwa na 20% out of wages,milard anaweka habari kwenye website zake kwa ajili ya kutengeza brand yake yeye kama yeye,pesa pekeee ambayo milard anakulà ni YouTube na Millard. Com,povu ruksa


sehemu nyingi nimeona, hasa kwenye vituo vya reduio, inapoandikwa habari au document za kwenye kipindi chini pale copy right huwa ni ya kituo husika,

sasa basi kama copyright ni ya kituo husika mbona huwa anaziweka tena kwenye website yake, au kama website yake ndio inacopyright na habari imekusanywa na reporter wake ambao anawalipa yy kwanini anazitumia tena kwenye kituo..?
 
Ayo Ni kibaraka Wa ruge Kama daimond alivyo kibaraka Wa kusaga...bifu LA clouds na mtu yeyote na ayo lazima ahusike katika media zake.... Anafuata maelekezo kutoka juu kwa mkubwa wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom