Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
"
Inavyosemekana haijathibitika.
Huyo kijana katika video anamchapa mama yake mzazi. Sina hakika kama ni kweli vyovyote iwavyo sijapendezwa kabisa nimechukizwa kweli.
Naomba anaejua ukweli wapi hii imetokea?Ni mkoani Kagera au popote na ikiwezekana huyo kijana na huyo anaeongea kurekodi sheria iwashukie.
Ni Unyama wa hali ya juu na seems huyo mama huwa anapigwa mara kwa mara.Na hii video wamerekodi kama sehemu ya kumdhalilisha mama huyu.
Waziri wetu, mama yetu Ummymwalim naomba uweke mkono wako tumsake. Jeshi la polisi policetanzania tunaomba sana Plss yoyote anaeweza kupaza sauti tupaze mpaka wapatikane.
Imeniuma nami nimeamua ku share nanyi Naimani sector zoote Serikalini Zipo Humu na watachukuwa Hatua Katika hili Kama kweli limetokea kwetu Nchini.
Chanzo #dinamarius
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyosemekana haijathibitika.
Huyo kijana katika video anamchapa mama yake mzazi. Sina hakika kama ni kweli vyovyote iwavyo sijapendezwa kabisa nimechukizwa kweli.
Naomba anaejua ukweli wapi hii imetokea?Ni mkoani Kagera au popote na ikiwezekana huyo kijana na huyo anaeongea kurekodi sheria iwashukie.
Ni Unyama wa hali ya juu na seems huyo mama huwa anapigwa mara kwa mara.Na hii video wamerekodi kama sehemu ya kumdhalilisha mama huyu.
Waziri wetu, mama yetu Ummymwalim naomba uweke mkono wako tumsake. Jeshi la polisi policetanzania tunaomba sana Plss yoyote anaeweza kupaza sauti tupaze mpaka wapatikane.
Imeniuma nami nimeamua ku share nanyi Naimani sector zoote Serikalini Zipo Humu na watachukuwa Hatua Katika hili Kama kweli limetokea kwetu Nchini.
Chanzo #dinamarius
Sent using Jamii Forums mobile app