Ampendae kampiga kibuti: afanyeje ili kuvumilia maumivu ya 'heart break'?

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
Jana jioni nilipigwa na butwaa kumuona rafiki yangu akilia kuliko kawaida! Nilipomuuliza alishindwa hata kuongea! Basi nilianza kazi ya kubembeleza. Mwishowe nikaona hali yake inakuwa mbaya kwani alikuwa anaonekana anauchungu sana kiasi cha mwili wote kumtetemeka! Alikuwa hataki hata kunywa kitu chochote!

Niliamua kumpigia simu mpenzi wake (girlfriend wake) kujua kama anataarifa yeyote! ndipo aliponiambia kwamba 'its over between them'...Niliamua kwenda kuongea na shem wangu ana kwa ana kwani hali ya jamaa ilikuwa ni mbaya sana (usipime)!

Shem aliniambia kwamba siku za hivi karibuni alianza kupoteza mapenzi kwa jamaa (rafiki yangu) kwahiyo alikuwa hajisikii kitu chochote na ndio maana ameamua kusitisha uhusiano wao! Nikamuuliza tena sasa ndio itakuwaje? Akanipa jibu kwamba amepata 'mtu mwingine ambaye anahisi ndiye chaguo lake la moyo!

Baada ya kurudi home kwangu nikajaribu kumuuliza mshikaji wangu nae akasema kwamba yeye (mpenzi wake ndiye ameamua) na kunipa sababu aliyopewa na shem (sababu ile ile shem aliyonipa mimi wakati naongea nae).

Sasa nimeendelea kukaa na huyu jamaa lakini analia na kuniambia kwamba kuachwa na huyu mpenzi wake ni pengo kubwa sana! Jamaa yaani analia tu kula hali! Nimejaribu kumwekea movie aaangalie lakini wapi!

Naleta kwenu jamani, hivi kuna njia gani ya kumfariji mtu aliyeachwa na mpenzi wake? Nifanyeje kumsaidia manake naogopa jinsi anavyoweweseka hapa! Je, nimwache alie tuuu au nifanyeje?
 
Mapenzi ni watu wawili kupendana, sasa kama mtu mmoja hajisikii chochote kwa mwenzake, hata wakirudiana mapenzi hapo hamna. Ndo yale utasikia mke anakuwa na buzi lake nje. Huyo rafiki yako ajitahidi kuchukuliana na hali hiyo na aone kama haikuwa bahati yake. Tena ashukuru Mungu kwa kuwa hali hii imejitokeza wakati bado wako kwenye urafiki, ingetokea wakiwa kwenye ndoa ingekuwa balaa.

Cha kumsaidia kwa sasa ili asiwaze sana juu ya hilo, wewe mtoe out, mahali kwenye mkusanyiko wa watu wengi ili aweze kubadili mazingira na mawazo. Mfano mnaweza kwenda beach, mnaweza kwenda kutembea kwenye masupermarket makubwa kama Mliman city n.k.

Kazi kweli kweli.
 
The best way to get over a lover is to get a new and better lover.
 
Je, hiyo si inakuwa kama vile ni kukomoana?

Hapana, itakuwa kukomoana tu kama unataka kujionyesha. Ikiwa part ya ku-move on, ikiwa imefanywa kwa sababu ya kutaka kumridhisha aliyepigwa kibuti zaidi ya kutaka kumuonyesha aliyepiga kibuti, inaitwa "betterment".

Ikiwa inafanywa kwa sababu ya kumuonyesha aliyepiga kibuti inaiwa "bitterment" na zaidi ya yote inaonyesha aliyepigwa kibuti hajaweza kusema "it is over".



Pussywhipped 26: 1 -2.
 
Hapana, itakuwa kukomoana tu kama unataka kujionyesha. Ikiwa part ya ku-move on, ikiwa imefanywa kwa sababu ya kutaka kumridhisha aliyepigwa kibuti zaidi ya kutaka kumuonyesha aliyepiga kibuti, inaitwa "betterment".

Ikiwa inafanywa kwa sababu ya kumuonyesha aliyepiga kibuti inaiwa "bitterment" na zaidi ya yote inaonyesha aliyepigwa kibuti hajaweza kusema "it is over".



Pussywhipped 26: 1 -2.
well noted but what is that in red?
 
Jamani vibuti ni kawaida kwa sisi wanaume kupigwa inategemea sera zako pamoja na jinsi gani unavyo hudumia mzigo.
 
ufafanuzi hapo nilipopigia mstari

Hahahaha yaani huduma anazitoa jamaa kwa huo mzigo mpaka ukaamua kumpiga kibuti yaelekea alikuwa hazami sana kwenye EPA ndo maana mzigo ukaamua kumpiga red card. Hujui mapenzi siku hizi bila EPA hayaendi?
 
Hahahaha yaani huduma anazitoa jamaa kwa huo mzigo mpaka ukaamua kumpiga kibuti yaelekea alikuwa hazami sana kwenye EPA ndo maana mzigo ukaamua kumpiga red card. Hujui mapenzi siku hizi bila EPA hayaendi?

kwa hiyo mwanamke ndio mzigo wenyewe hapo???
 
Jana jioni nilipigwa na butwaa kumuona rafiki yangu akilia kuliko kawaida! Nilipomuuliza alishindwa hata kuongea! Basi nilianza kazi ya kubembeleza. Mwishowe nikaona hali yake inakuwa mbaya kwani alikuwa anaonekana anauchungu sana kiasi cha mwili wote kumtetemeka! Alikuwa hataki hata kunywa kitu chochote!

Niliamua kumpigia simu mpenzi wake (girlfriend wake) kujua kama anataarifa yeyote! ndipo aliponiambia kwamba 'its over between them'...Niliamua kwenda kuongea na shem wangu ana kwa ana kwani hali ya jamaa ilikuwa ni mbaya sana (usipime)!

Shem aliniambia kwamba siku za hivi karibuni alianza kupoteza mapenzi kwa jamaa (rafiki yangu) kwahiyo alikuwa hajisikii kitu chochote na ndio maana ameamua kusitisha uhusiano wao! Nikamuuliza tena sasa ndio itakuwaje? Akanipa jibu kwamba amepata 'mtu mwingine ambaye anahisi ndiye chaguo lake la moyo!

Baada ya kurudi home kwangu nikajaribu kumuuliza mshikaji wangu nae akasema kwamba yeye (mpenzi wake ndiye ameamua) na kunipa sababu aliyopewa na shem (sababu ile ile shem aliyonipa mimi wakati naongea nae).

Sasa nimeendelea kukaa na huyu jamaa lakini analia na kuniambia kwamba kuachwa na huyu mpenzi wake ni pengo kubwa sana! Jamaa yaani analia tu kula hali! Nimejaribu kumwekea movie aaangalie lakini wapi!

Naleta kwenu jamani, hivi kuna njia gani ya kumfariji mtu aliyeachwa na mpenzi wake? Nifanyeje kumsaidia manake naogopa jinsi anavyoweweseka hapa! Je, nimwache alie tuuu au nifanyeje?

Pole sana na hilo lilokupata au yalompata rafiki yako..Katika mapenzi jamani ni hamna jinsi ya kumsaidia zaidi ya yeye kuanza kusahau kidogo kidogo,watu watatoa mengi fanya hivi fanya hivi jamani kibuti jamani kinauma,yakikupata ndo utajua nini maana ya kuachwa,sometimes to be player helps cuz utakutana na mengi ya kuachwa au kuacha,yameshanitokea hayo ndo maana naandika hivyo..Mkuu huyo rafiki yako kaa nae karibu tuu soon he will be okay and find another one to replace...daima lenye mwanzo mwisho unasubiri ingawa utachelewa..
 
Jana jioni nilipigwa na butwaa kumuona rafiki yangu akilia kuliko kawaida! Nilipomuuliza alishindwa hata kuongea! Basi nilianza kazi ya kubembeleza. Mwishowe nikaona hali yake inakuwa mbaya kwani alikuwa anaonekana anauchungu sana kiasi cha mwili wote kumtetemeka! Alikuwa hataki hata kunywa kitu chochote!

Niliamua kumpigia simu mpenzi wake (girlfriend wake) kujua kama anataarifa yeyote! ndipo aliponiambia kwamba 'its over between them'...Niliamua kwenda kuongea na shem wangu ana kwa ana kwani hali ya jamaa ilikuwa ni mbaya sana (usipime)!

Shem aliniambia kwamba siku za hivi karibuni alianza kupoteza mapenzi kwa jamaa (rafiki yangu) kwahiyo alikuwa hajisikii kitu chochote na ndio maana ameamua kusitisha uhusiano wao! Nikamuuliza tena sasa ndio itakuwaje? Akanipa jibu kwamba amepata 'mtu mwingine ambaye anahisi ndiye chaguo lake la moyo!

Baada ya kurudi home kwangu nikajaribu kumuuliza mshikaji wangu nae akasema kwamba yeye (mpenzi wake ndiye ameamua) na kunipa sababu aliyopewa na shem (sababu ile ile shem aliyonipa mimi wakati naongea nae).

Sasa nimeendelea kukaa na huyu jamaa lakini analia na kuniambia kwamba kuachwa na huyu mpenzi wake ni pengo kubwa sana! Jamaa yaani analia tu kula hali! Nimejaribu kumwekea movie aaangalie lakini wapi!

Naleta kwenu jamani, hivi kuna njia gani ya kumfariji mtu aliyeachwa na mpenzi wake? Nifanyeje kumsaidia manake naogopa jinsi anavyoweweseka hapa! Je, nimwache alie tuuu au nifanyeje?

...mwambie ujasiri hupimwa kwa jinsi anavyoweza kukabiliana na mshtuko kama huo, ...asing'ang'anie kuangalia mlango ulofungwa akakosa kuona milango mipya inayofunguka mbele yake,

Kama hataki kuelewa, mpe kalamu na karatasi aorodheshe mabaya ya huyo mpenzi wake kuanzia walipoanzana mpaka walipoachana, atafarijika tu.
 
Hahahaha yaani huduma anazitoa jamaa kwa huo mzigo mpaka ukaamua kumpiga kibuti yaelekea alikuwa hazami sana kwenye EPA ndo maana mzigo ukaamua kumpiga red card. Hujui mapenzi siku hizi bila EPA hayaendi?
Jamani EPA ndio kitu gani katika mapenzi?
 
The best way to get over a lover is to get a new and better lover.

Rebound is not good. It's better to take a break and regroup before you jump into another relationship. And passage of time is the best healer of heartache.
 
Back
Top Bottom