mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Utawala wa Samia wote hauheshimika kama wakati wa JPM, enzi za JPM agizo lisipotimizwa kuna mtu ataliwa kichwa wakati saivi hata agizo la Rais mwenyewe halitimizwi na maisha yanaendelea kama kawaida.