Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,373
Kwenye Taarifa ya Habari ya ITV Usiku huu ameonekana Makalla akijikosha mbele ya wanakijiji wilayani Chunya na kuwarudisha tena kwenye maeneo yao ambayo WALIONDOLEWA NA SERIKALI CHINI YA MTUTU WA BUNDUKI KWA KUDHALILISHWA NA NYUMBA ZAO KUPIGWA KIBERITI .
Kwamba watu wale waliondolewa na kudhalilishwa kimakosa , sasa ni vema wote waliohusika na njama ile ya kishetani iliyojaa unyama unaozidi wa simba wa porini , siyo tu wajiuzulu bali wakamatwe na kushitakiwa huku wananchi wale wakilipwa fidia ya mali na nyumba zao tena haraka sana
Hakuna cha Mswalie Mtume hapa , mara zote tumewaonya kuwatumia polisi mtakavyo bila hata kuchunguza ukweli , sasa leo bila aibu wewe unarudi kwa wale Masikini mliowadhalilisha kwa kiwango cha kutisha namna ile huku ukijifanya una huruma wakati wewe ndio Mkuu wa usalama wa Mkoa .
Nakushauri ujiuzulu kabla hakujakucha .
Kwamba watu wale waliondolewa na kudhalilishwa kimakosa , sasa ni vema wote waliohusika na njama ile ya kishetani iliyojaa unyama unaozidi wa simba wa porini , siyo tu wajiuzulu bali wakamatwe na kushitakiwa huku wananchi wale wakilipwa fidia ya mali na nyumba zao tena haraka sana
Hakuna cha Mswalie Mtume hapa , mara zote tumewaonya kuwatumia polisi mtakavyo bila hata kuchunguza ukweli , sasa leo bila aibu wewe unarudi kwa wale Masikini mliowadhalilisha kwa kiwango cha kutisha namna ile huku ukijifanya una huruma wakati wewe ndio Mkuu wa usalama wa Mkoa .
Nakushauri ujiuzulu kabla hakujakucha .