nover
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 235
- 174
Apo umemaliza kakaTrue..
Watu hawataki kuchafuka..RC anakuwa katikati hajui akifanya hivi atamkera mkubwa wake au la..
Tuna viongozi dhaifu kweli..Hawa wamachinga ilibidi jeshi la polisi litembeze virungu kweli kweli kwa wanaokaidi..na kufanya surveillance ya maana kwenye hayo maeneo..atakayerudi ni kibano..Watz waoga wangetafuta njia nyingine
Mikoani huku nguvu kidogo tu ila Dar lazima itumike nguvu na wakuumia waumie..
Sasa hii kubembeleza inaonyesha tuna viongozi incompetent kina eneo.
Sent using Jamii Forums mobile app