Muungwana akivuliwa nguo huwa anachutama. Rais Magufuli tafadhali achutame.
Kuna kila sababu ya kuamini kuwa vitambulisho vya ujasiriamali vilikuwa vya lazima. Japo Rais Magufuli amejitokeza hadharani na kusema havikuwa vya lazima.
Lakini sote tunakumbuka Amos Makala alitumbuliwa baada ya mkoa wake wa Katavi kugawa vitambulisho vichache zaidi.
Sasa kama kweli havikuwa vya lazima Amos Makala aombwe radhi.
Kuna kila sababu ya kuamini kuwa vitambulisho vya ujasiriamali vilikuwa vya lazima. Japo Rais Magufuli amejitokeza hadharani na kusema havikuwa vya lazima.
Lakini sote tunakumbuka Amos Makala alitumbuliwa baada ya mkoa wake wa Katavi kugawa vitambulisho vichache zaidi.
Sasa kama kweli havikuwa vya lazima Amos Makala aombwe radhi.