Amos Josephat Madebwa maarufu tajiri mtoto, amechukua fomu kugombea udiwani kupitia ACT-Wazando, kata ya Lusahunga, wilaya ya Biharamulo, mkoa wa Kagera. Alisindikizwa na umati mkubwa wa watu.
kamera ilinasa sehemu ndogo ya kundi kubwa la watu
Hapa ni baada ya kuchukua fomu