Ammy Mpungwe: Fisadi Mwalimu

mihengeli

New Member
Dec 4, 2006
4
1
Wenzangu, salaam?

Nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuweka wazi yale madili aliyofanya huyu bwana kwa jina la Ammy Mpungwe...wakati akina yona na mkapa wakiandaliwa kesi kwenda kwa vyombo vya sheria haitokuwa sawa huyu bwana akiachwa...si vizuri kumsahau...nadhani huyu ni fisadi mwalimu...huenda wengi wao wamejifunzia kwao...nadhani huyu ndo mwalimu wao hawa woote mnaowaona sasa...alicheza michezo michafu kuanzia pale NBC, TBL, TANESCO (yeye ndo alialeta wale wazungu), Madini kule mererani...and was/ is among the top men in their boards...si mnakumbuka alikuwa balozi kule south africa? nadhani kuna mtu alimtuma akafanye madili yale na lipomaliza akaacha ubalozi...
 
dU NAKUMBUKA JAMAA ALIKUWA KEY FIGURE KULETA WA SOUTH TZ MAANA DUU ALIKUWA YEYE KAMA TRADE CENTRE KULEE AMELETA WACHIMBAJI...TANESCO NA WENGINEO WENGI NAKUMBUKA SANA LEO HII NI SHARE HOLDER WA TANZANIA ONE..ARUSHA HUYU NAE NI FISADI MZOEFU SANA
 
Hebu tuleteeeni data zake maana wengine tuko katika kuunganisha dots kwani yanayotokea Tanzania sasa si ya bahati mbaya...
 
Ami Mpungwe Ni Fisadi Wa Siku Nyingiii Mnoo,ndo Mhasisi.
Ten Percent Za Makaburu Amezila Sana,atcl,tanesco Etc
Ami Na Muungwana They Go Way Back..
Jumba Lake La Sauzi,gumzo Tupu.
 
Huyu alipelekwa kule South na Mwinyi, katika kipindi cha Mkapa ndio akashamiri na biashara na ku-retire foreign kabla ya muda wake, huyu sio mwalimu alikuwa akitumiwa na Mkapa, Sumaye, Idd Simba, Kigoda, Yona, Rubambe, na Kazaura, kwenye deals za ubinafsishaji,

Ninaamini kwamba siku itakapofika, atakuwa ni shahidi mzuri sana kwa upande wetu wananchi, against mafisadi na hasa deal ya NBC
 
mkuu huyu ni rafiki wa karibu sana na bwana mkubwa wa south. sasa sijui kama alitumia urafiki huo kuwa kiunganishi wa dili
za wakubwa au la.
 
mkuu huyu ni rafiki wa karibu sana na bwana mkubwa wa south. sasa sijui kama alitumia urafiki huo kuwa kiunganishi wa dili
za wakubwa au la.

Mkuu wa South alipokuwa mkimbizi, alikuwa akiishi sana hapa YMCA alikuwa karibu sana na Mkapa, kule Daily News unajua bongo tulikuwa na tabia moja ya kuwaruhusu wakimbizi wengi kufanya kazi huko magazeti ya chama na serikali, ndiko walikojuana na Mkapa, sasa huyu Mkapa ndiye aliyewaunganisha na hao wengine kwenye deals ambazo zilianzia kenye ubinafsishaji,

Ninaamini kuwa kwenye kila deal huyu mkuu alipata mgawo, na pia ni member wa bodi ya kila kampuni ya South hapa bongo, kuaniza kwenye madini, mpaka kwenye mafuta, kama sasa hivi utajiri wake labda ni level ya Mkono tu kwa bongo!
 
FMES,

..Ammy Mpungwe alikuwa afisa ubalozi Zambia na huko ndiko walikofahamiana na Thabo Mbeki. Makao Makuu ya ANC and their government in exile ilikuwa Lusaka Zambia.

..baada ya Uhuru wa SA inasemekana lilitumwa ombi maalum kutoka SA kuwa Balozi wa kwanza wa TZ awe Amy Mpungwe.

..Amy Mpungwe aliteuliwa na Raisi Mwinyi kwenda kutuwakilisha SA. wakati huo Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Raisi naamini alikuwa Cygwiyemwisi Malecela.

NB:

..kabla ya kuteuliwa kwenda SA Amy Mpungwe alikuwa mpatanishi mkuu wa mgogoro wa rwanda ktk mazungumzo yalikuwa yakifanyika Arusha.
 
Mkuu pia wa-South walikuwepo Morogoro na Dar, kwa hiyo walikuwa waki-shift pa kukaa yaani their bigs, kwa sababu Mbeki ameishi sana bongo, pale YMCA.

Na kama utakumbuka vizuri, hata aliyegongana na gari la Marehemu Sokoine, alikuwa ni m-South kutoka kambi yao ya Mororgoro, pia walikuwa na kambi nyingine kule Temeke, karibu na JKT, lakini biashara zzilikuwa ni za Mkapa na kundi lake, yeye alikuwa anachukua kamisheni tu na akawa mjanja na kujiingiza zaidi ndani ya biashara binafsi!
 
FMES,

..hao Wa-Sauz inabidi uwatofautishe kati ya ANC na PAC.

..aliyegonga gari la Sokoine alikuwa mwanachama wa PAC akijulikana kama Dumisani Dube.

..Wa-Sauz wameanza kumiminika kuwekeza Bongo toka enzi za Mzee Ruksa.

..Tanzania Breweries ilibinafsishwa wakati wa Mzee Ruksa, kama huna taarifa. kule Arusha snake park ya wa-Sauz ilianza wakati wa Mzee Ruksa.

NB:

..naamini Tanzania ilikuwa ngome kuu ya PAC na siyo ANC.
 
Habari za Mpungwe nilikuwa nazo siku nyingi sana wakati akiwa balozi South...
Nakumbuka vizuri ktk moja ya mageuzi yetu ya kiuchumi moja ya agenda kubwa ya chama CCM ilikuwa kuwatumia South Africa na hiyo SADC kuwa kiungo cha maendeleo ya nchi zetu kwa sababu wao walikuwa mbele na vitu vyote vinavyotakiwa ikiwa ni pamoja na uwezo wa kitechnologia.
Mpango huu ulianza wakati wa Mwinyi kama sikosei awamu yake ya pili na hata Mwalimu, Marehemu Nyerere aliupendekeza badala ya mazungumzo ya karibu na Mandela..
tatizo lilokuja ni kwamba badala ya kutumia SADC na kuunda benki ambayo ingeweza kusimama ktk mikopo ya miradi ya maendeleo na ujenzi wa infrastructure nchini kama walivyofanya wenzetu wa nchi za Asia kutokutegemea zaidi IMF na benki kuu ya Dunia, viongozi wetu walikuwa na agenda zao za binafsi.

Tatizo kama nilivyowahi kusema viongozi wetu ni watawala weusi sawa na wakoloni kimawazo na hutafuta mwanya wa kujitajirisha wao badala ya kufikiria maslahi ya nchi...
Hivyo, Makaburu wa kwanza kuingia nchini walijengwa na Ami Mpungwe ikiwa ni pamoja na kurudi kwa De Beers kule Mwadui. tatizo lililojitokeza ni kwamba hawa wote walikuwa opportunist na kila kampuni iliyoingia nchini walikuja kuchuma kutokana na udhaifu wa mikataba yetu ambayo kama kawaida viongozi wetu walitaka kukatiwa chao.. Mikataba mibovu iliingiwa ktk kipindi kifupi sana na hawa makaburu hadi likazuka sakata la Tanzanite yetu kule Marerani na wanunuzi wakubwa kama Zales kutokana na mbinu ya Wasouth kutaka kuchukua umilikaji wa migodi hiyo..Nadhani mtakumbuka jinsi report ya uuzaji wa Tanzanite ilivyotofautiana na ile report ya taifa ktk mauzo ya Tanzanite toka hapo tukaanza kuona vitu vingine vikiibuka toka NBC,TBL, TANESCO na kadhalika...
Kundi hilo walianza kugeukana yakazuka makundi kufikia wakati wa Mkapa kwa sababu SADC haikujengwa na kuimarishwa badala yake ilibomolewa na viongozi wa nchi zote zilizohusika kwa sababu wote hawa walikuwa na mipango nje ya jumuiya hiyo - Kujitajirisha wakati ndio huu.
Kwa hiyo, kama alivyosema FMES, viongozi wetu wote walikuwa na malengo yao na wakamtumia sana Ami Mpungwe kufunga ma -deal huko South..Ikifika wakati muafaka huyu jamaa anaweza kuwa dhamana kubwa ya serikali kiushahidi dhidi ya Mafisadi kwa wakati huo kabla viongozi wetu hawajajitanua zaidi kufikia nchi za Ulaya, US na Canada..
 
..Ikifika wakati muafaka huyu jamaa anaweza kuwa dhamana kubwa ya serikali kiushahidi dhidi ya Mafisadi kwa wakati huo kabla viongozi wetu hawajajitanua zaidi kufikia nchi za Ulaya, US na Canada..

Bob, huyu mkulu kuanzia deal ya NBC, na mikataba yote ya madini, anahusika na ana migodi pia, siri yote ya Mkapa na wenziwe ni huyu mkulu ndiye aliyekuwa kiunganishi, ukimpata huyu umemaliza kesi zote za Mkapa!
 
Mzee Mpungwe, Mara nyingi huwa yupo Atlanta ni mtu wa karibu mno na Balozi Andrew Young(nae ni mkazi wa Atlanta),Ni wazi atashiriki kwenye Mkutano wa Sullivan - Arusha,Pamoja na kustaafu kwake bado ana ushawishi mkubwa kwa walio Madarakani.Ni rahisi kumpata kwani ni mcheshi na mtu mpenda media....
 
Huyu ndugu si ndiye aliyekua mwenyekiti AFGERM? Ambaye alikua na hisa kwenye karibia kampuni zote za SA zilizokuja kuwekeza hapa tz? Or was it just a coincidence? I think the man can be a very good lead to the roots of UFISADI..
 
Sasa wakubwa yaelekea huyu jamaa atakuwa anajua nyeti kibao za hawa mafisadi na majambawazi wanaotafuna nchi yetu...Inabidi nae tumbane akae kolokoloni ili aje kusaidia upelelezi nahofia asije kukata kona tukaambiwa hajulikani aliko Maana kama ana kiazio anaweza kututimulia vumbi tukabaki tunaangalia alama za miguu kuwa alipa hapa....wakati muda ndio huu nae tumtie kabali... Wanasheria hapo vipi kuna ushauri wa kitaalamau zaidi katika kumbana huyu mtu??
 
wanandugu huyu mtu ni FISADI KIWEMBE..mwalimu aitoshi..ndie alieiuza ATCL KWA MAKABURU NA MWISHO WAKAANGUKIA PUA MASKINI SHIRIKA LILE.TUNAPENDA KUMUAKIKISHIA SIKU WAKIINGIA MAHAKAMANI MAFISADI YEYE AKAMATE VISA YA BAHREIN MAPEMA NDUGU...AKISHIRIKIANA NA JAMAA MMOJA X CEO SANGWENI WALIIMALIZA KABISA KAMPUNI ILE NA TAARIFA ZAIDI NTAWALETE STAY TUNE
 
Mwado Hana Ushehsi Wowote Zaidi Ya Kulewa Ovyo Pale Kempinski Na Kuatamani Madada Zetu Huku Akiwa Na Mkewe Nyumbani ,,nadra Kumwona Hata Safari Akiwa Na Mkewe...hawa Wake Wanajuta Sana Lakini Kutokana Na Maisdha Wanashindwa Kukimbia Nyumba Wakijua Taabu Za Mbele Yao.....tena Ukome Ami...mkeo Mkeo Hata Akiwa Na Naniiii Bado Mkeo...else Utawafundisha Watoto Wako Maisha Mabaya..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom