Mkuu wewe na wengine wote wapenzi wa Mambo ya Mossad nawaomba mtafute hiki kitabu natuma cover yake tu kitabu chote naogopa copyright law. Humo kuna story za kusisimua zaidi ya mission 22 zilivyotekelezwa na Mossad hadi za karibuni za mwaka 2011.
View attachment 446295
View attachment 446297
Mkuu siwezi kuweka hapa kwa sababu ya Copyright law. Kuna jamaa toka Trinidad and Tobago masikini kama mimi alishare kama sio kitabu basi movie akafuatiliwa na wahusika akatozwa Dola miilioni kadhaa. Nitumie email yako PM nitakutumia au wale watu niliowatumia watumieni na wengine.aiseee sasa ndugu si utuwekee hapa pdf aiseee watu turuke nacho bana usitubanie bana kama vipi naomba unirushie hiki kitabu private, maana nimekitafuta ebay naona wanasema hawaship to TZ
operation entebe nadhan nimewah kuileta ngoja niitafute. humu ndani. Mossad ni wazuri sana kuliko hata CIA au KGB ni wazuri sana. kiukweli hata mimi huwapenda. na mambo yao huwa ya kimya kimya sana.
Safii sana. ..Mkuu wewe na wengine wote wapenzi wa Mambo ya Mossad nawaomba mtafute hiki kitabu natuma cover yake tu kitabu chote naogopa copyright law. Humo kuna story za kusisimua zaidi ya mission 22 zilivyotekelezwa na Mossad hadi za karibuni za mwaka 2011.
View attachment 446295
View attachment 446297
Nitumie email yako PM.
Ulituma email yako PM?Nitumie na mm. Ntakupa email yangu pm
Ulituma email yako PM?
Asante sana kwa mada murua,mungu akubariki mkuu
Sent from mTalk