Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,618
- 2,715
Ooh kipa wetu anadaka hadi mishale...aisee !
Sisis tuna watu'HATUTAKI WATU'
Hata apo kwenye mavazi bado vunjabei yupo juu sanaWamewekeza kwenye fashion show ya mavazi
Kwan fainali ya FA iliwakutanisha nani na nani? TUANZIE HAPAKweli mkuu ila yanga akikutana na nyau anamlamba unalizungumziaje hili
SioNaona hata clouds wameshindwa kuizungumzia mechi ya yanga.
Kweli GSM wanajua fitina..jamaa washapigwa hela waipotezee.
Na semaji linakula raha kama halina akili timamu vileWahuni wa naija wamefanya nchi iko kimya no tantalila upande wa matopeni.
Kapumbu alifungulia