Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,211
- 1,185
Habari za usiku wanajamii forum
Kwa muda sasa ninaona nadharia ya PESA inapewa mashiko sana kwenye mahusiano,mtu anakuambia tafuta pesa wanawake hawatakusumbua maana kwenye pesa mademu hutulia tuliiii,sasa shida inakuja pale pesa inapokwisha mahusiano yenu yanakuwaje?maana siku hizi watu wana kitu inaitwa CONDITIONAL LOVE,ikiwana maana mtu anakupendea kitu,sasa kile kitu kinapokwisha inakuwaje,jamani tuache maswala ya kusema wanawake wzuri ukitaka utulie naye tafuta pesa,sawa atatulia lakini sio kwa maisha yako yote pindi pesa inapokata na yeye anakatika,tutafute pesa kuwasaidia ndugu zetu na wazazi wetu na sisi wenyewe ila isiwe chambo ya kupata mtoto mzuri ambaye pesa ikiisha na yeye anaishia
Nice weekend
Kwa muda sasa ninaona nadharia ya PESA inapewa mashiko sana kwenye mahusiano,mtu anakuambia tafuta pesa wanawake hawatakusumbua maana kwenye pesa mademu hutulia tuliiii,sasa shida inakuja pale pesa inapokwisha mahusiano yenu yanakuwaje?maana siku hizi watu wana kitu inaitwa CONDITIONAL LOVE,ikiwana maana mtu anakupendea kitu,sasa kile kitu kinapokwisha inakuwaje,jamani tuache maswala ya kusema wanawake wzuri ukitaka utulie naye tafuta pesa,sawa atatulia lakini sio kwa maisha yako yote pindi pesa inapokata na yeye anakatika,tutafute pesa kuwasaidia ndugu zetu na wazazi wetu na sisi wenyewe ila isiwe chambo ya kupata mtoto mzuri ambaye pesa ikiisha na yeye anaishia
Nice weekend