Amiri Jeshi Mkuu na First Lady

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,007
DSC00185.JPG

Anameremeta!
m.JPG

Nimezichukua kwa Muhidin wa Michuzi.
 
yeeeeeeeeeeees siku hizi first lady is powerful..you cant imagine SUKU HIZI BONGO MNAWEZA MKASIMAMISHWA BARABARANI FOR SOMETIME ..MARA UTAONA PIKIPIKI NA MA CRUIZER ..KWA HARAKA UNAWEZA UKAFIKIRI NI ITIFAKI YA RAIS,MAKAMU.,WAZIRI MKUU AU RAIS MSTAAFU...LAKINI GHAFLA UKIANGALIA UNAONA NI SALMA KIKWETE HUYOOOOOO!!!!

TUKIRUDI MA FIRST LADY WALIOTANGULIA KAMA MAMA MARIA ,SITTI,NA ANNA..wao hawakuwa na misafara zaidi ya kutembelea gari moja tu tena wakiunga foleni kama raia wengine ...sanasana watakuwa na dereva na binti bodyguard mwenye radio call basi.....sasa hizi fujo za ukubwa sasa zinatushangaza....first lady anajiamulia tu muda wowote kuchukua gulfstream kwenda kutembea ..thats too much.....
 
Mama Rais ni mtu mkubwa ktk jamii yetu,huyu ana mchango mkubwa wa maisha yetu ya kila siku;nadhani Mama Salma ametambua kuwa ni heri aende front tu maana hata kama akikaa kimya mwisho wa siku watakapojitokeza watesi wa JK yeye Salma hatakaa salama naye yumo,ameliona mapema hilo wacha ashughulike kivyake,angalia jana alivyowafariji mahujaji,kaza mwendo bi Mkubwa ndio siasa.

Hilary huyo anaisaka Ikulu wewe weka msingi wa watakaokufuata hapo Ikulu mama.
 
Mama Rais ni mtu mkubwa ktk jamii yetu,huyu ana mchango mkubwa wa maisha yetu ya kila siku;nadhani Mama Salma ametambua kuwa ni heri aende front tu maana hata kama akikaa kimya mwisho wa siku watakapojitokeza watesi wa JK yeye Salma hatakaa salama naye yumo,ameliona mapema hilo wacha ashughulike kivyake,angalia jana alivyowafariji mahujaji,kaza mwendo bi Mkubwa ndio siasa.

Hilary huyo anaisaka Ikulu wewe weka msingi wa watakaokufuata hapo Ikulu mama.


ilimpasa kuwafariji....alifanya vema ,baaada ya sherehe za uhuru alichukua flight moja kwa moja hadi terminal two ...akaonge na viongozi wa mahujaji wakiongozwa na mustapha nyanganyi,..pia alikuwepo baba yake mzazi,mama yake mzazi,dada yake bi. mwanakombo,na shemeji yake ambao nao wanaenda wanaenda hijja....baaada ya maongezi mafupi ikiwemo kuwahakikishia safari..aliondoka kurejea dodoma...
 
Back
Top Bottom