Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,074
- 37,545
Ila twende mbele na kurudi nyuma. Jamani kuna chapati tamu sana. Dodoma kuna kampuni ya catering inafanya huduma zake pale Treasury Square!
Kwa Chapati kama zile, binafsi naweza kutumia 1.1 billion kwa chapati!
Pale Arusha pale round about ya Azimio kuna mama anatengeneza chapati na Maharage. Zile chapati tamu Jamani! Nyie watu wa R Chugga. Yule mama pale round about bado yupo?
DSM kuna mpishi wa chapati yupo pale UDSM- COET Cafeteria. Sijui kama yule mtoa huduma bado yupo! Zile chapati zinauzwa 500 TShs. Zile unaweza kula chapati za 1.1 billion!
Morogoro kuna hotel ipo pale MSAMVU, mabasi kutoka Dodoma huwa yanaingia pale Mchana kulisha abiria wake... Na Wao wana chapati tamu sana!
Kwa Chapati kama zile, binafsi naweza kutumia 1.1 billion kwa chapati!
Pale Arusha pale round about ya Azimio kuna mama anatengeneza chapati na Maharage. Zile chapati tamu Jamani! Nyie watu wa R Chugga. Yule mama pale round about bado yupo?
DSM kuna mpishi wa chapati yupo pale UDSM- COET Cafeteria. Sijui kama yule mtoa huduma bado yupo! Zile chapati zinauzwa 500 TShs. Zile unaweza kula chapati za 1.1 billion!
Morogoro kuna hotel ipo pale MSAMVU, mabasi kutoka Dodoma huwa yanaingia pale Mchana kulisha abiria wake... Na Wao wana chapati tamu sana!