Zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wa Dar es salaam ni wanachama au mashabiki wa vyama vinavyounda UKAWA. CCM Dar ni kama 20% tu matokeo ya uchaguzi uliopita ni shahidi mzuri.
Bila serikali kutumia nguvu za ziada nina imani wabunge wote wangetoka UKAWA, madiwani wote wangetoka UKAWA, wenyeviti wote wa mitaa wangetoka UKAWA, na Mameya wote wangetoka UKAWA.
UKAWA Dar ni sawa na CHADEMA Arusha, inaweza kushinda uchaguzi wowote bila kufanya hata mkutano mmoja.
RC peke yake hawezi kuliongoza jiji la Dar, hawezi kusimamia usafi kila sehemu, hawezi kufanikisha ulinzi na amani wakati wote, hawezi kuyajua matatizo ya wakazi kwa kufanya ziara ya siku mbili bila kuwashirikisha Wenyeviti wa Mitaa.
Kwa hiyo Rais na Makonda wajue kuwa Dar ni UKAWA na UKAWA ndiyo Dar es salaam yenyewe hata wafanye vipi labda waamue kutawala.
Karibu kwa mjadala.
Bila serikali kutumia nguvu za ziada nina imani wabunge wote wangetoka UKAWA, madiwani wote wangetoka UKAWA, wenyeviti wote wa mitaa wangetoka UKAWA, na Mameya wote wangetoka UKAWA.
UKAWA Dar ni sawa na CHADEMA Arusha, inaweza kushinda uchaguzi wowote bila kufanya hata mkutano mmoja.
RC peke yake hawezi kuliongoza jiji la Dar, hawezi kusimamia usafi kila sehemu, hawezi kufanikisha ulinzi na amani wakati wote, hawezi kuyajua matatizo ya wakazi kwa kufanya ziara ya siku mbili bila kuwashirikisha Wenyeviti wa Mitaa.
Kwa hiyo Rais na Makonda wajue kuwa Dar ni UKAWA na UKAWA ndiyo Dar es salaam yenyewe hata wafanye vipi labda waamue kutawala.
Karibu kwa mjadala.