Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #61
Ruta. Ni kweli ni matatizo ya Kimfumo, lakini ni nani alyekuwa Mratibu mpaka mfumo huo ukawa kama ulivyo ? Kwa maana kwamba huyo tayari ameishasababisha watu kukata tamaa na watu wake; hivyo, kwa mfumo huo huo tutashuhudia idadi ndogo ikijitokeza kupiga kura kwa kisingizi kuwa mfumo utatoa viongozi wale wale wasiofaa kwa hiyo ni afadhali mtu akae mtaani akipiga soga kuliko kushiriki kuchagua kiongozi asiyefaa
sawabho tatizo ni kuwa huyo anajiandaa kumrithi anakuja na mfumo uleule....tutakimbilia wapi akiisha kamata dola kwani atarudia madudu yaleyale.......
Last edited by a moderator: