Kwa wale Waungwana wanaoishi Minneapolis/St.Paul na miji ya Karibu.Mama Amina Salum Ali atakuwepo huko Tarehe 04/oktoba -06/Oktoba kwa ajili ya kongamano la Uchumi /Biashara na Uwekezaji kwa Nchi za Afrika.Baadhi ya Viongozi mashuhuri Waafrika watakaohudhuria Mkutano huo ni;
- H.E Goodluck E.Jonathan (Makamu wa Rais wa Nigeria)
- H.E Welile Nhlapo (Balozi wa Afrika kusini/US)
- H.E Kwame Bawuah Edusei (Balozi wa Ghana/US)
Ili kupata maandalizi na ratiba nzima ya shughuli hiyo ingia hapa
www.panafricantradesummit.org au wasiliana na Henry Ongeri Tel: 952-542-6438.