Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 824
Mada imefungwa. Mleta mada nunua taulo lingine kama unahisi kakuonea kudekia hilo taulo. Upload picha ya taulo labda tunaweza kutetea. Wife material hawapendi uchafu.
Sasa ulitaka awe anagawagawa ovyo kwa wahuni.Anavyo vingi sana ikiwemo na uchoyo
Ni jipya lakini ni la mtumbaMkuuu taulo jipya kabisa
Mkuu ya mtumba ndo mazuri, cha msingi ukinunua chemsha na maji ya motoNi jipya lakini ni la mtumba
Kwanza poleni na msiba huu mzito uliotupata watanzania,
Nije kwenye maada husika, ni hivi nna mchumba wangu ambaye kama Mungu akipenda ilikua awe mke, Ila kwa hili tukio la leo kwakweli nahisi kanikatisha tamaa sana,
Leo kaja geto, mi sikuepo hom, kanipigia cm akiniuliza dekio ili adeki geto, nikajisemea mke si ndo huyuu sasa,mi nikamwambia aangalie vizuri lipo, sasa narudi nakuta kachukua taulo langu ndo kadekia, kumuuliza anasema hakuliona dekio, wana jamii forum hamjawah kuniangusha, je? Pana mke hapa kweli?
Wewe pumbafu sana, nilifikiri kapigwa fimbo...kumbe kafanya usafi!Kwanza poleni na msiba huu mzito uliotupata watanzania,
Nije kwenye maada husika, ni hivi nna mchumba wangu ambaye kama Mungu akipenda ilikua awe mke, Ila kwa hili tukio la leo kwakweli nahisi kanikatisha tamaa sana,
Leo kaja geto, mi sikuepo hom, kanipigia cm akiniuliza dekio ili adeki geto, nikajisemea mke si ndo huyuu sasa,mi nikamwambia aangalie vizuri lipo, sasa narudi nakuta kachukua taulo langu ndo kadekia, kumuuliza anasema hakuliona dekio, wana jamii forum hamjawah kuniangusha, je? Pana mke hapa kweli?
Well said.. ndivoilivoUsikute hilo taulo lako halina tofauti na dekio,kaona njia rahisi ya kulipoteza ndio hiyo...nunua tuu lingine..
Kwanza poleni na msiba huu mzito uliotupata watanzania,
Nije kwenye maada husika, ni hivi nna mchumba wangu ambaye kama Mungu akipenda ilikua awe mke, Ila kwa hili tukio la leo kwakweli nahisi kanikatisha tamaa sana,
Leo kaja geto, mi sikuepo hom, kanipigia cm akiniuliza dekio ili adeki geto, nikajisemea mke si ndo huyuu sasa,mi nikamwambia aangalie vizuri lipo, sasa narudi nakuta kachukua taulo langu ndo kadekia, kumuuliza anasema hakuliona dekio, wana jamii forum hamjawah kuniangusha, je? Pana mke hapa kweli?