Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
- Thread starter
- #21
Mr kuku/Ontario nakuonaKuna kitu inaitwa forex, kwa mtaji wa milioni themanini kutengeneza laki tano kwa siku ni kama unamsukuma mlevi🤣🤸🐒
Mr kuku/Ontario nakuonaKuna kitu inaitwa forex, kwa mtaji wa milioni themanini kutengeneza laki tano kwa siku ni kama unamsukuma mlevi🤣🤸🐒
Namshauri akae mbali na biashara yoyote ya mtandaoMr kuku/Ontario nakuona
Pia UTT wana products nashauri aende akapate information zaidi, aina flani za investment hutokwi jasho na funds zako zinahakikishiwa usalamaAnaogopa kukaa nazo zote atazitumia vibaya
Yeye anataka discipline ya kuchukua taratibu na sio riba kubwa. Umeelewa swali?ni kweli, benki nyingi zinatoa faida ya 8 - 12% kwa mwaka huku zenyewe zikipata 18 - 20%.
Kwenye benki hawezi kupata laki saba faida kwa mwezi , kwenye hati fungani yes inawezekana - zunguka kwenye mabenki kuna wahudumu watakupa elimu hii na namna ya kuzigawanya hizo hela zako kwa mikupuo.Yeye anataka laki saba kila mwezi. Hizo hati fungani zitamuingizia hicho kiasi kwa mwezi?
Ndiyo mara mbili kwa mwaka. Akitaka awe anapata kila mwezi azigawe kwa miezi sita.Watamlipa on time?
Basi kwa sababu yeye ni mwalimu mstaafu na kazoea kelele za wanafunzi anunue machine ya kusagaBiashara ya daladala hataki hata kuisikia
We si mjuzi?Ngoja wajuzi waje mkuu!
Akawekeze kwenye hisa ndio itamlipa zaidiMama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.
Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.
Msaada please.
Hapa napo changamoto, kufanya biashara na serikali!!!! kuna jamaa nimemsikia analalamika amezurumiwa kiasi kikubwa cha fedha hukoAwekeze kwenye hati fungani za serikali za miaka 20 au miaka 25 awe anakula interest ya 15% au zaid kwa mwaka.
Anipe mim hapa nifanye mafekeche ktk biashara ya viatu vya mtumba kila mwez atapata lak saba na akitaka pesa yake atatoa taarifa nitamkabidh baada ya miez sita tangu atoe taarifaYeye anataka laki saba kila mwezi. Hizo hati fungani zitamuingizia hicho kiasi kwa mwezi?
Duuuu!!! Nilikua sijui hiyoAsisahau bank ikifirisika atakachoambulia kulipwa ni 1,500,000/=million na nusu tu katika hela yako
Aende aangalie kila bank fixed deposit interest inasomaje.vinginevyo asifanye biashara yoyote kwa sasa kwa sababu atakufa ndani ya muda mfupiMama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.
Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.
Msaada please.
Uongo huu kwa maana dhama na banks za kibiashara zote zipo BOTAsisahau bank ikifirisika atakachoambulia kulipwa ni 1,500,000/=million na nusu tu katika hela yako
Huyu mama ndio mfano halisi wa wazazi wa kiAfrica yani unataka kufungia 80M as if hauna ndugu na jamaa wanashida husikute ata watoto bado wanaitaji boost kwenye maisha yao. Nimeshindwa kuelewa uelewa wa wazee wetu wa kiAfrica yani huu ubinafsi ndio unaturudisha nyuma sana.Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.
Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.
Msaada please.