Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 713
- 1,181
Napenda kutanguliza salamu kwa wanajukwaa,
Kuna ndugu yangu amemaliza mwaka huu kidato cha sita ni msichana alisoma HGK, amenifata na kuomba ushauri ni kozi gani ambayo atleast itamfaa hapo baadae,
Ni kweli inajulikana kwamba sasaivi kwenye upande wa ajira ni mtihani kidogo hata watu wa sayansi nao wanaelewa hili ndio maana nimeamua kuwaletea humu wanajukwaa kidogo mchangie.
Fanya kama huyu ndo mdogo wako wewe ungemshauri akasome nini baadae.
Wako mtiifu katika ujenzi wa taifa, mwanakulipata.
Kuna ndugu yangu amemaliza mwaka huu kidato cha sita ni msichana alisoma HGK, amenifata na kuomba ushauri ni kozi gani ambayo atleast itamfaa hapo baadae,
Ni kweli inajulikana kwamba sasaivi kwenye upande wa ajira ni mtihani kidogo hata watu wa sayansi nao wanaelewa hili ndio maana nimeamua kuwaletea humu wanajukwaa kidogo mchangie.
Fanya kama huyu ndo mdogo wako wewe ungemshauri akasome nini baadae.
Wako mtiifu katika ujenzi wa taifa, mwanakulipata.