Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Wana roho ngumu sana hao jamaa kuwa watetezi wa mpigaji wa hai.Baba wa matumizi mabaya ya ruzuku, michango ya wabunge, mdhalilisha wanawake viti maalum kwa kulala nao ili awape nafasi, mnywaji mzuri wa faru John mpaka kuvunja mguu ndio mwenye characters hizo ulizoainisha hapo. Chadema saccos, chama cha mfukoni kwa Mbowe ndio kwisha kabisa. Nani mtanzania mjinga achague utopolo?. Kibaraka wa beberu, kipigo kipo palepale.