Mwagito84
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 235
- 705
Kuna bidada yupo chuo mwaka wa mwisho hapa kitaani.
Binti ana sura ya kawaida tu kama lastborn wa Babangida, Ila kajaaliwa Nundu hiyo chini ya mgongo hatari.
Huku na huku nikasakanya namba tuyajenge akanambia ana mtu wake hivyo haiwezekani.
Nikamwambia niwe tyre spare akasema poa ila niwe namuhudumia, nikamwambia nikuhudumie au tuhudumiane?
Akapiga kimya Jana kanitext anaomba 50,000 nikamwambia niko room namba 09 Guesthouse aje achukue ananiambia kama ndo mambo hayo basi hataki.
Hivi akina dada huwa mnataka iweje? Au kuna mahala nakwama wanazengo? Yaani mi niwe nakuoa hrla harafu anagegeda mwenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti ana sura ya kawaida tu kama lastborn wa Babangida, Ila kajaaliwa Nundu hiyo chini ya mgongo hatari.
Huku na huku nikasakanya namba tuyajenge akanambia ana mtu wake hivyo haiwezekani.
Nikamwambia niwe tyre spare akasema poa ila niwe namuhudumia, nikamwambia nikuhudumie au tuhudumiane?
Akapiga kimya Jana kanitext anaomba 50,000 nikamwambia niko room namba 09 Guesthouse aje achukue ananiambia kama ndo mambo hayo basi hataki.
Hivi akina dada huwa mnataka iweje? Au kuna mahala nakwama wanazengo? Yaani mi niwe nakuoa hrla harafu anagegeda mwenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app