amygdala
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,082
- 997
hayo mambo yanawezekana kwe nchi kama Russia, turkey, Syria au Venezuela yaan design ya nchi ambazo zina authoritarian leadership, kwe nchi kama US ama zile za western europe inakuwa ngumu mno kubadilisha zile foreign policies za nchi......kumbuka pia hata republican wenyew kuna mambo meng tu wanatofautiana na trump likiwemo swala la mahusiano ya marekan na russia. akizingua wanaweza hata kum impeach tena itakua rahisi tu maana hata repiblican wenzake wanaweza mkana..yule mwenzie alipigwa blowjob ofisin wakataka kum impeach sema akatokea kwe tundu la sindano..moja kati ya maswala ambayo yataleta utata kwe utawala wake ni jins atakavyoish na putin coz kumbuka marekan imewin ushwish eastern Europe kwa kui demonize Russia, sasa leo yeye ansema russia is not a problem hahahaaa anaua biashara za kina boeing na lock held there is no way wenye nchi wakakubali hio kitu kabisaSiyo kweli Trump ni game changer kwenye World politics na ndiyo maana wanahangaika naye sana tangu mwanzoni kabisa kumbuka hakuna mgombea aliyepigiwa negative campaign kama Trump, hivyo kuna sababu, kama wanajua kwamba hakuna jipya na kila kitakuwa ni muendelezo wa Obama wasinge hangaika hivi wangkubali tu yaishe lkn angalia maandamano nchi nzima mpaka wameanzaisha Kampeni ya Calexit yaani California kujitoa USA kama Trump akiapishwa!!