America Has a History of Medically Abusing Black People. No Wonder Many are Wary of COVID-19 Vaccines

Haya mambo ya kulialia kila siku kwa madhara ysliyotokea karne mbili zilizopita,Wala hayatusaidii,sisi weusi sio jamii pekee iliyotendewa ndivyo sivyo,hata waisrael waliuwawa,wa vietnam walipigwa,wanawake wa kichina walibakwa sana na Wajapan,huku kulialia Wala hakusaidii,

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app

Mkulu sidhani kama umesahau udhalimu wa magharibi ambao umekuwa ukifanywa katika nyanja mbalimbali kwa miaka mingi. Uharamia wao ni endelevu. Siyo kama unavyodai kwamba ni wa karne mbili zilizopita. Udhalimu unaendelea, lkn kwa namna na mtindo ulioboreshwa zaidi.
Kumbuka udhalimu uliofanywa katika nyakati zetu huko Libya. Je tutasema kile kilichotendeka Libya ni haki? Kimeboreha hali? Libya ya kabla na baada ya kushambuliwa ipi ina ustawi na hali njema kwa raia? Nani walikuwa nyuma ya uhalamia huo?
Tukitafakari maswali haya yatatusaidia kuelewa kama magharibi ina nia njema na watu wa bara hili.
 
Wanavyosema ni kuwa nchi maskini ndio zitakua zakwanza kupokea chanjo hizo, kuna Video ambayo nimeiona na ninayo wako katika kikao chao maprofessa wanasema Africa inahitaji kupunguzwa zaidi ya watu million kadhaa sasa wanajadili je ni njia gani tutakazofanikisha kuwapunguza waafrica, hio video nitaileta hapa ukiiangalia ndio utajua kuwa hawa viumbe ni zaidi ya makatili

Well said mkuu, sisi tunajitahidi sana kuwa elimisha Waswahili wenzetu kuhusu hatari ambazo baadhi ya wazungu hasa wenye asili ya Anglo Saxon walivyo pania ku-depopulate bara la Afrika - tukisema wengine wanatubeza beza tu kwamba tunaendekeza masuala ya conspiracy theories - wakati hiyo sikweli hata kidogo mipango hiyo hipo kweli na itatekelezwa kirahisi zaidi kwa kupitia kwenye chanjo zao, wanajua gonjwa hili ni pandemic hivyo Dunia nzima kila mtu apatashwa kudungwa chanjo hakuna jinsi ya kulikwepa hilo! Mwisho wa siku Bill Gates na genge lake malengo yao ya muda mrefu yatatelezwa kiulaini kabisa, Viongozi wengi barani Afrika wala hilo hawatalitilia shaka aidha kwa kuongwa na akina Bill Gates ili chanjo zao zikubalike au kutokana na ignorance baadhi ya Viongozi hao wa Kiafrika hawata watilia shaka akina Bill Gates, watamuona ni mkombozi na mwabadamu mwenye kujali - kumbe?

Mkuu niliwahi kuona video clip ya baadhi ya Maprofesa na baadhi ya mabilllione wakiwa wamejikusanya sehemu wakizungumzia kuhusu bara la Afrika, kuna mmoja alikuwa anapaza sauti na alionekana chuki zake kuhusu bara la Afrika ni kubwa mno, na hapa namnukuu " Ebu niambieni Waafrika kama Waafrika waliwahi lini kuchangia kimawazo, kiufundi, sayansi na tekniloojia katika ustawi na maendeleo ya binadamu hapa Duniani - hakuna! Kazi ya waafrika ni kuzaliana ovyo ie bila mpango, kumaliza rasimali chache hapa Duniani wakati wao hawazalishi chochote zaidi ya kutegemea mataifa ya Amerika na Ulaya kuwapatia misaada - wamebweteka kabisa, sasa msikilize alivyo hitimisha hotuba yake ya kishetani, kasema hivi: final solution ya kumaliza tatizo hili kubwa hapa Duniani - tuwapunguze kwa idadi kubwa waafrika au tuwamalize kabisa! Washiriki wengi wali-support uwenda wazimu huo - hii ndio hatari ambayo itakuja kukabiri bara la Afrika Viongozi wetu wasipokuwa makini. Narudia wako determined kweli kweli, wakishindwa plan "A" wanakuja na plan "B" hatari kweli kweli, mkuu.
 
Kabisa mkuu, tatizo si kutuletea chanjo, tatizo ni kuwa sisi ni test, hapa lazima tutafute njia mbadala ya kuepuka kutumika kujaribiwa hizi dawa

Sasa mkuu ulitegemea tuwe vyengine vipi kama si kuwa sisi ndio test? yani wao wakae waumize vichwa watengeneze dawa na mapesa yao watumie kwenye tafiti halafu sisi tuletewe bure tu?
 
Well said mkuu, sisi tunajitahidi sana kuwa elimisha Waswahili wenzetu kuhusu hatari ambazo baadhi ya wazungu hasa wenye asili ya Anglo Saxon walivyo pania ku-depopulate bara la Afrika - tukisema wengine wanatubeza beza tu kwamba tunaendekeza masuala ya conspiracy theories - wakati hiyo sikweli hata kidogo mipango hiyo hipo kweli na itatekelezwa kirahisi zaidi kwa kupitia kwenye chanjo zao, wanajua gonjwa hili ni pandemic hivyo Dunia nzima kila mtu apatashwa kudungwa chanjo hakuna jinsi ya kulikwepa hilo! Mwisho wa siku Bill Gates na genge lake malengo yao ya muda mrefu yatatelezwa kiulaini kabisa, Viongozi wengi barani Afrika wala hilo hawatalitilia shaka aidha kwa kuongwa na akina Bill Gates ili chanjo zao zikubalike au kutokana na ignorance baadhi ya Viongozi hao wa Kiafrika hawata watilia shaka akina Bill Gates, watamuona ni mkombozi na mwabadamu mwenye kujali - kumbe?

Mkuu niliwahi kuona video clip ya baadhi ya Maprofesa na baadhi ya mabilllione wakiwa wamejikusanya sehemu wakizungumzia kuhusu bara la Afrika, kuna mmoja alikuwa anapaza sauti na alionekana chuki zake kuhusu bara la Afrika ni kubwa mno, na hapa namnukuu " Ebu niambieni Waafrika kama Waafrika waliwahi lini kuchangia kimawazo, kiufundi, sayansi na tekniloojia katika ustawi na maendeleo ya binadamu hapa Duniani - hakuna! Kazi ya waafrika ni kuzaliana ovyo ie bila mpango, kumaliza rasimali chache hapa Duniani wakati wao hawazalishi chochote zaidi ya kutegemea mataifa ya Amerika na Ulaya kuwapatia misaada - wamebweteka kabisa, sasa msikilize alivyo hitimisha hotuba yake ya kishetani, kasema hivi: final solution ya kumaliza tatizo hili kubwa hapa Duniani - tuwapunguze kwa idadi kubwa waafrika au tuwamalize kabisa! Washiriki wengi wali-support uwenda wazimu huo - hii ndio hatari ambayo itakuja kukabiri bara la Afrika Viongozi wetu wasipokuwa makini. Narudia wako determined kweli kweli,QQQQQQQQQQQwakishindwa plan "A" wanakuja na plan "B" hatari kweli kweli, mkuu.

Mkulu Conspiracy Theories siyo za kuzipuuza. Kuna zingine zinaongea uhalisia.
Kuna moja nimeifuatilia kwa umakini na kipindi kirefu ya kifo cha Lumumba na pia km wa um ambaye alikuwa mswidi. Pale ndiyo utajua hawa jamaa kumbe ni shidaa.

Hata hali ilivyo Libya na Iraq. Utajua jinsi mambo yanavysonga.
 
Mkulu Conspiracy Theories siyo za kuzipuuza. Kuna zingine zinaongea uhalisia.
Kuna moja nimeifuatilia kwa umakini na kipindi kirefu ya kifo cha Lumumba na pia km wa um ambaye alikuwa mswidi. Pale ndiyo utajua hawa jamaa kumbe ni shidaa.

Hata hali ilivyo Libya na Iraq. Utajua jinsi mambo yanavysonga.
Well said,
 
Back
Top Bottom