kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,275
- 1,698
Kesho. Andaa kigoda.Na hapa kwetu lini..?
Kesho. Andaa kigoda.Na hapa kwetu lini..?
Yani Trump amuogope Biden?
We jamaa hauko serious wakati Biden ndiye alitaka kukwepa
Neno 'analytical mind' kumbe siku hizi limepoteza maana yake.CNN wanajulikana sana kwa chuki za kijinga kuhusu Trump - tangu Trump amzidi kete Hillary Clinton, CNN bado inaendeleza propaganda zao dhidi ya Trump. Opinion polls za CNN ni za kutunga tu, Biden hana uwezo wa kujieleza kuliko Trump na wala hana analytical mind ya kumfikia Trump.
Sijazungumzia polls, heshima wala mshindi wa jana. Nimesema Trump haogopi hata kidogo kufanya debate na Biden. Haogopi kabisaBiden hamwogopi wala kumheshimu rais Trump, Trump naye hamwogopi wala kumheshimu Biden. Ukijipata hapo unatazamia nini kufanyika? Mimi sio mfuasi wa yeyote hapo. Au unataka kumpa nani ubabe hapo... Hadi sasa hakuna poll inaonyesha Trump alishinda debate ya kwanza
Mimi sikushangazwa na majibu ya Biden - kitu cha kwanza uwezo wake wa kuchambanua masuala ya domestic na geopolitics ni mdogo sana, uwezi kumlinganisha na damu ya Kijerumani ya ubongo wa Trump unao chemka - Trump ni maji marefu yule, maneno/majibu aliyo kuwa anayasema Biden alikalilishwa na genge la Hillary Clinton na CNN, inaelekea Trump hilo alilibaini mapema sana ndio maana alipo kuwa anambana Biden kwa hoja zenye mshiko - Bedin anaishia kukosa pumzi!!
Siku moja niliwahi kumsikia Rais Obama akilalamika kwamba Makamu wake wakati mwingine anakuwa too colourful - what does that tell you about Biden's Persona? Wamerika wanao jitambua hawawezi kumpigia kura Biden - my opinion.