Lakini polls hizi ni za watazamaji wa mdahalo/debate it has nothing to do with CNN inside administration! All in all, this is not a good indication for trumpHao CNN wanajulikana kuwa ni wapinga Trump.
Hata Mimi nimeangalia na kusikiliza mdahalo. Kiukweli Biden amejibu vizuri na alikuwa so presidential Katika kujibu hoja ukilinganisha na Trump.Lakini polls hizi ni za watazamaji wa mdahalo/debate it has nothing to do with CNN inside administration! All in all, this is not a good indication for trump
Hata cbs pia ni wapinga Trump?Lakini polls hizi ni za watazamaji wa mdahalo/debate it has nothing to do with CNN inside administration! All in all, this is not a good indication for trump
Lakini polls hizi ni za watazamaji wa mdahalo/debate it has nothing to do with CNN inside administration! All in all, this is not a good indication for trump
Sijuhi ingekuwaje jiwe alazimishwe akutane na Mwamba Tundu Lisu kwenye mdahalo,Bwana Trump aliishia kutukana na kusema uongo, kutumia nguvu ku present urguments, interference kwa mwenzake wakati anaongea ... na vitu kama hivyo.! Hayo ndiyo matokeo ya CNN Instant poll!
Hapana, ilikuwa Live on CNNUtasikia "Fake News"
Watu wa aina ya Magu waondoke tuLakini polls hizi ni za watazamaji wa mdahalo/debate it has nothing to do with CNN inside administration! All in all, this is not a good indication for trump
Nimetizama mdahalo. Biden alionesha uwezo mdogo sana ukilinganisha na promo anazopataBwana Trump aliishia kutukana na kusema uongo, kutumia nguvu ku present urguments, interference kwa mwenzake wakati anaongea ... na vitu kama hivyo.! Hayo ndiyo matokeo ya CNN Instant poll!
CNN ni wapinzani wa Trump...Hao CNN wanajulikana kuwa ni wapinga Trump.
CNN hawajaanza kumchukia Trump aliposhinda. Walianza akiwa mgombea, hawa wajinga walinilisha matango pori wakati wa kampeni zilizopita. Mwaka huu wakasisitiza Kim Jong kafa. Yani credibility yao naitilia shaka baadhi ya habari.CNN wanajulikana sana kwa chuki za kijinga kuhusu Trump - tangu Trump amzidi kete Hillary Clinton, CNN bado inaendeleza propaganda zao dhidi ya Trump. Opinion polls za CNN ni za kutunga tu, Biden hana uwezo wa kujieleza kuliko Trump na wala hana analytical mind ya kumfikia Trump.
Kulingana na kashfa alizonazo Trump, Biden alikuwa na kila nyenzo za kumshinda. Tatizo la Biden uwezo wake kuongea ni mdogo sana. Yani mwepesi mnoNimetizama mdahalo. Biden alionesha uwezo mdogo sana ukilinganisha na promo anazopata
Hao watazamaji wa CNN nao ni wapinzani wa Trump. Wapenzi wa Trump wapo fox news na inazidi kupata watazamaji wengi kwa sababu inamuunga mkono TRUMP wakati cnn ikizidi kupoteza watazamaji kila siku. Ukitaka ki prove tembelea social media page za fox news uone.Lakini polls hizi ni za watazamaji wa mdahalo/debate it has nothing to do with CNN inside administration! All in all, this is not a good indication for trump