vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,571
Hellow wakuu,
Nina mtu wangu wa karibu amepoteza cheti original cha matokeo ya kidato cha nne, lakini amebaki na photocopies zake tu.
Je kuna namna yoyote hizi photocopies zikawa certified bila kuwepo original cheti?
Kazi nyingi zinazotangazwa huwa wanakataa statement of results, je kuna utaratibu gani anaweza kufanya ili kutojipunguzia thamani atakapohitaji kujiingiza kwenye ajira hizi?
Naombeni muongozo wakuu,
Ahsanteni
Nina mtu wangu wa karibu amepoteza cheti original cha matokeo ya kidato cha nne, lakini amebaki na photocopies zake tu.
Je kuna namna yoyote hizi photocopies zikawa certified bila kuwepo original cheti?
Kazi nyingi zinazotangazwa huwa wanakataa statement of results, je kuna utaratibu gani anaweza kufanya ili kutojipunguzia thamani atakapohitaji kujiingiza kwenye ajira hizi?
Naombeni muongozo wakuu,
Ahsanteni