robertmpumilwa
Member
- May 15, 2016
- 46
- 13
habari ndugu zangu. naomba msaada kwa anayejua dawa ya kuweza kuyaondoa maji kwenye testes.
Umri miaka 32
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri miaka 32
Sent using Jamii Forums mobile app
yaan kuna jamaa yangu amepimwa na kuambiwa testes yake ya upande wa kulia ina maji hivyo imepelekea ashindwe kusimamisha uume balabala na akose kabs hamu ya kushirikiana.
anasema mtu aliyempima hajampa ushauri wowote zaidi ya kumwambia ngoja amtafutie doctor anayeweza kulitibu tatizo hilo ila anaona muda unaenda na bado hajapatiwa msaada wowote.
hapo ndio tatizo kuwaona hao watu aisee. nipe msaada kama unajua nitawapataje ili nimpeleke jamaa aisee
sawa basi ni mimi aisee. kwan kuna shida gani ndugu yangu. jua hujafa hujaumbikaSema ni ww unaye majimaji
Upo pande zipi mkuu?sawa basi ni mimi aisee. kwan kuna shida gani ndugu yangu. jua hujafa hujaumbika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda muhimbili hospital.hapo ndio tatizo kuwaona hao watu aisee. nipe msaada kama unajua nitawapataje ili nimpeleke jamaa aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
We sema ni wewe . Kwani Dr aliyeagiza ukafanye kipimo hukurudi kumuona akusomee majibu na ushauri wa kufuata ?!.anasema mtu aliyempima hajampa ushauri wowote zaidi ya kumwambia ngoja amtafutie doctor anayeweza kulitibu tatizo hilo ila anaona muda unaenda na bado hajapatiwa msaada wowote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana kliniki zao ktk hospital zetu kubwa za kanda (KCMC, BMC, MMC nk) karibu kila siku ni wewe tu. Lipa uwaonehapo ndio tatizo kuwaona hao watu aisee. nipe msaada kama unajua nitawapataje ili nimpeleke jamaa aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aache tu sio lazima kushirikiana anaweza kukaa peke ake tuyaan kuna jamaa yangu amepimwa na kuambiwa testes yake ya upande wa kulia ina maji hivyo imepelekea ashindwe kusimamisha uume balabala na akose kabs hamu ya kushirikiana.View attachment 1404243
Sent using Jamii Forums mobile app