kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,495
- 12,586
Habari za weekend ndugu zangu?
Hapa nilipo naandika huu uzi nikiwa mafichoni, kuna single mother nilikua nadate nae, sasa muda sio mrefu asubuhi ya leo kaniletea ujinga flani nikamlamba makofi, kumbe akakimbilia police station kwenye dawati la jinsia kunishtaki kuwa nimempiga.
Bahati nzuri nimetoka na police nao ndio wakaingia ndani kuja kunikamata, hizi habari nimepewa na mama mwenye nyumba wangu kuwa natafutwa na police kwa kosa la kumpiga huyo mwanamke.
Issue yenyewe ni kwamba nilimkataza huyu mwanamke asiwe anawasliana na huyo mzazi mwenzake na tukakubaliana mimi ntamtunza yeye na huyo mtoto ila sharti ndio hilo moja, kumbe mwenzangu anawasliana kisirisiri na hilo takataka lake ambalo halimsaidii kitu chochote.
Ushahidi ninao na baada ya kumuonyesha huo ushahidi ananijibu jeuri. Nikapandwa na hasira za ghafla ndo nikamzaba makofi, sasa wakuu hapa nilipo nipo kwa jamaa yangu flani nimejificha nisikilizie hii issue inavyoenda.
Nisaidieni mawazo wakuu hili swala nalimaliza vipi maana naona kama siku ya leo nitaimalizia lock up, na vipi hii kesi huwa ina dhamana kweli au ndio moja kwa moja magereza?
Hapa nilipo naandika huu uzi nikiwa mafichoni, kuna single mother nilikua nadate nae, sasa muda sio mrefu asubuhi ya leo kaniletea ujinga flani nikamlamba makofi, kumbe akakimbilia police station kwenye dawati la jinsia kunishtaki kuwa nimempiga.
Bahati nzuri nimetoka na police nao ndio wakaingia ndani kuja kunikamata, hizi habari nimepewa na mama mwenye nyumba wangu kuwa natafutwa na police kwa kosa la kumpiga huyo mwanamke.
Issue yenyewe ni kwamba nilimkataza huyu mwanamke asiwe anawasliana na huyo mzazi mwenzake na tukakubaliana mimi ntamtunza yeye na huyo mtoto ila sharti ndio hilo moja, kumbe mwenzangu anawasliana kisirisiri na hilo takataka lake ambalo halimsaidii kitu chochote.
Ushahidi ninao na baada ya kumuonyesha huo ushahidi ananijibu jeuri. Nikapandwa na hasira za ghafla ndo nikamzaba makofi, sasa wakuu hapa nilipo nipo kwa jamaa yangu flani nimejificha nisikilizie hii issue inavyoenda.
Nisaidieni mawazo wakuu hili swala nalimaliza vipi maana naona kama siku ya leo nitaimalizia lock up, na vipi hii kesi huwa ina dhamana kweli au ndio moja kwa moja magereza?