Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
au mahari yenyewe kubwa sana?
kuliko uwezo wako?
kuliko uwezo wako?
Kila kitu kina mwanzo... Haya anza kunikopesha basi...Hivi huwa hakuna ndoa za mkopo?
Habari ndugu, mimi na mchumba wangu tumedumu kwa miaka 8 sasa, hatukufunga ndoa kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo ya kimasomo, mwenzangu amemaliza chuo mwezi wa sita mwaka huu na mimi ndo nimemaliza mwezi uliopita, kinachosubiriwa ni kwenda kulipa mahari ili kufunga ndoa, kwa kuwa nilikuwa masomoni sijajipanga vizuri kwa maana ya pesa za kulipa mahari, nimemwambia mpenzi wangu anivumilie nigangegange maana hata mahari najilipia mwenyewe, lakini cha ajabu ameniambia amechoka kusubiri, amenipa mwezi mmoja niwe nimekamilisha taratibu za kumuoa, vinginevyo ataniacha, nifanyeje ndugu zangu, nisaidieni!
Kila kitu kina mwanzo... Haya anza kunikopesha basi...
Mpige mimba fasta jeuri yake iishe.
Umeshasema wote mlikuwa wanafunzi, sasa hayo mahari utatoa wapi. Atakuwa na lifataki linalompa kiburi.Habari ndugu, mimi na mchumba wangu tumedumu kwa miaka 8 sasa, hatukufunga ndoa kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo ya kimasomo, mwenzangu amemaliza chuo mwezi wa sita mwaka huu na mimi ndo nimemaliza mwezi uliopita, kinachosubiriwa ni kwenda kulipa mahari ili kufunga ndoa, kwa kuwa nilikuwa masomoni sijajipanga vizuri kwa maana ya pesa za kulipa mahari, nimemwambia mpenzi wangu anivumilie nigangegange maana hata mahari najilipia mwenyewe, lakini cha ajabu ameniambia amechoka kusubiri, amenipa mwezi mmoja niwe nimekamilisha taratibu za kumuoa, vinginevyo ataniacha, nifanyeje ndugu zangu, nisaidieni!
Habari ndugu, mimi na mchumba wangu tumedumu kwa miaka 8 sasa, hatukufunga ndoa kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo ya kimasomo, mwenzangu amemaliza chuo mwezi wa sita mwaka huu na mimi ndo nimemaliza mwezi uliopita, kinachosubiriwa ni kwenda kulipa mahari ili kufunga ndoa, kwa kuwa nilikuwa masomoni sijajipanga vizuri kwa maana ya pesa za kulipa mahari, nimemwambia mpenzi wangu anivumilie nigangegange maana hata mahari najilipia mwenyewe, lakini cha ajabu ameniambia amechoka kusubiri, amenipa mwezi mmoja niwe nimekamilisha taratibu za kumuoa, vinginevyo ataniacha, nifanyeje ndugu zangu, nisaidieni!
Habari ndugu, mimi na mchumba wangu tumedumu kwa miaka 8 sasa, hatukufunga ndoa kwa sababu ya kutaka kutimiza malengo ya kimasomo, mwenzangu amemaliza chuo mwezi wa sita mwaka huu na mimi ndo nimemaliza mwezi uliopita, kinachosubiriwa ni kwenda kulipa mahari ili kufunga ndoa, kwa kuwa nilikuwa masomoni sijajipanga vizuri kwa maana ya pesa za kulipa mahari, nimemwambia mpenzi wangu anivumilie nigangegange maana hata mahari najilipia mwenyewe, lakini cha ajabu ameniambia amechoka kusubiri, amenipa mwezi mmoja niwe nimekamilisha taratibu za kumuoa, vinginevyo ataniacha, nifanyeje ndugu zangu, nisaidieni!
piga chini,hakufahi