Wadau mpo salama bila shaka.
Miezi kadhaa nilimtokea dada fulani hivi nikamwambia namna gani nilikwa nampenda Sana. Akasema anashukuru sana kupendwa na Mimi.
Nikasema poa, but halikwa jibu sahihi kusema hivyo. Baadaye akanambia pia hana mtu pale Mzumbe asomapo. Mzee mzima Nikasema nimewini, isitoshe mtoto mtoto kweli.
Kumchokonoa zaidi ndo akanambia atanipa jibu baada ya siku tatu. Nikasubiri wee ilipofika hiyo siku akanambia eti ana mtu wake na anampenda sana hawezi kumuacha lakini eti niwe na subira pengine anaweza kunielewa.
Baada ya siku kadhaa nikakutana naye jibu likawa hilohilo. Basi nikaridhia hakuna namna akufukuzaye hakwambii toka. Kuanzia hapo nikakauka si message waa calls lakini siku fulani fulani akawa hakosi kunitumia text za “Good Night” na zingine za mfanowe.
Basi mimi nilikuwa nikishukuru tu na kumwambia jinsi gani namzimia.
Shida iko hapa, wiki ilopita alintumia text, Goodnight nikaijibu vyema ahsante kwake pia I love her. Nikaona si vyema kumkaukia mtoto kama yule.
Nikaanza shobo za kumpigia na text. Ndipo hapo nikagundua ameniblock kila mahali kuanzia WhatsApp, Calls, Texts na kwingineko. Lakini cha ajabu akitupia picha kali WhatsApp eti ananifungulia kutoka block.
Wadau mnisaidie, huyu dada vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi kadhaa nilimtokea dada fulani hivi nikamwambia namna gani nilikwa nampenda Sana. Akasema anashukuru sana kupendwa na Mimi.
Nikasema poa, but halikwa jibu sahihi kusema hivyo. Baadaye akanambia pia hana mtu pale Mzumbe asomapo. Mzee mzima Nikasema nimewini, isitoshe mtoto mtoto kweli.
Kumchokonoa zaidi ndo akanambia atanipa jibu baada ya siku tatu. Nikasubiri wee ilipofika hiyo siku akanambia eti ana mtu wake na anampenda sana hawezi kumuacha lakini eti niwe na subira pengine anaweza kunielewa.
Baada ya siku kadhaa nikakutana naye jibu likawa hilohilo. Basi nikaridhia hakuna namna akufukuzaye hakwambii toka. Kuanzia hapo nikakauka si message waa calls lakini siku fulani fulani akawa hakosi kunitumia text za “Good Night” na zingine za mfanowe.
Basi mimi nilikuwa nikishukuru tu na kumwambia jinsi gani namzimia.
Shida iko hapa, wiki ilopita alintumia text, Goodnight nikaijibu vyema ahsante kwake pia I love her. Nikaona si vyema kumkaukia mtoto kama yule.
Nikaanza shobo za kumpigia na text. Ndipo hapo nikagundua ameniblock kila mahali kuanzia WhatsApp, Calls, Texts na kwingineko. Lakini cha ajabu akitupia picha kali WhatsApp eti ananifungulia kutoka block.
Wadau mnisaidie, huyu dada vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app