witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Haaahaaa kabisa..Hii wanawake Tunafanya sana
Hasa ukimuona mtu ni boya na siyo mbahili....
Uki unblock unampa maneno matamuu anajaa nyavuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa bahili unapeleka wapi eti? Mi mwanaume bahili sitakagi hata urafiki nae wa kawaida! Full kuchoshana tu na maneno yasiyokuwa na mantiki!
Sent using Jamii Forums mobile app