unaakili.sanaDuuh hivi kwa nini Mwanamke ukimsadia majukumu yake ya ndani anaona kama ni wajibu wako kufanya???? Alafu huwa wanajisahau sanaa aisee mimi nishajifunzaaa bora uchelewe kurudi nyumbani kuliko kujidai unamsaidia yanakukuta haya
Mtoka usiku how??Ndg yangu,hata x-wife alikuwa na kauli za namna hiyo mwisho wa siku nikaja gundua kuwa ni mtoka usiku.
Wanaofanya kazi zao usiku a.k.a wachawiMtoka usiku how??