Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Huyu Boss nimeshindwa kumuelewa na kauli zake tata kila siku. Anadai kuwa hapo nyuma tulikiwa tunachapwa pesa zetu za kodi. Yan tulikuwa hatupati maendeleo sababu tulikuwa tunachapwa na serkali iliyopita.
Amekuwa waziri na serikali iliyopita takriban miaka 20. Hata siku moja sikuwahi msikia bungeni akilalamika kuwa tunachapwa. Alikuwa ndyo kule upande wa "Ndyo".Sheria zote na mikataba mibovu imepitishwa na yeye akiwa miongoni mwa waliokuwa upande wa "ndyo".
Kibya zaidi anaogopa kusema waliotuchapa sababu na yeye ni miongoni mwao. Alipiga bei nyumba za serikal kwa bei ya nyanya. Nyumba nyingine akagawia mpaka mahwala zake.
Leo hii, bila aibu eti "nchi hii ilichapwa sana". Alafu anasema CCM hoyeeee!!!!. Huku kimoyo moyo anasema "Chama la wachapaji hoyeeeee"!!!!
Mwanasiasa sio mtu wa kuamini hata siku moja.
Amekuwa waziri na serikali iliyopita takriban miaka 20. Hata siku moja sikuwahi msikia bungeni akilalamika kuwa tunachapwa. Alikuwa ndyo kule upande wa "Ndyo".Sheria zote na mikataba mibovu imepitishwa na yeye akiwa miongoni mwa waliokuwa upande wa "ndyo".
Kibya zaidi anaogopa kusema waliotuchapa sababu na yeye ni miongoni mwao. Alipiga bei nyumba za serikal kwa bei ya nyanya. Nyumba nyingine akagawia mpaka mahwala zake.
Leo hii, bila aibu eti "nchi hii ilichapwa sana". Alafu anasema CCM hoyeeee!!!!. Huku kimoyo moyo anasema "Chama la wachapaji hoyeeeee"!!!!
Mwanasiasa sio mtu wa kuamini hata siku moja.