Amefungua jf

Nipo kwenye coaster jirani niliyekaa naye amefungua jf
Haha rahaaaaa me namwangalia tu anapitia tu thread
Sijui ni nani huyu?

Sio lemutuz kweli huyo?,kama alivaa mshati mrefu mpaka magotini na pensi na chachacha basi ujue umebahatika kukutana na lemutuz.hakukupiga mZinga wa 200 ya sigara?
 
Huyu ndio bikira wa kimakonde
362670.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom