spanerboy
JF-Expert Member
- Sep 14, 2020
- 628
- 1,438
umenena kiutu uzima asipouelewa uu ushauri basi akili kichwan mwakeHata ukimuoa wakati huu akienda huko chuo kama ataamua kubadilika atabadilika tu, wewe muamini labda kama kuna viashiria ambavyo amevifanya na vikakupa huo wasiwais vinginevyo unajitia jaka la roho bure japo wakat mwengine waswas ndio akili, wewe muamini mwache akasome muhim mawasiliano au ukiona hutaweza heri muachane mapema tu