msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
jamani wana jf nina mpenzi wangu tumekaa nae kwenye uhusiano kwa muda wa miaka miwili na tulikuwa tunapenda sana ila muda ukafika nikaamua nianze mikakati ya kuoa,nilipomwambia tu kuhusu ndoa akaanza kupunguza uhusiano wetu mpaka sasa amesema tuachane
nifanyeje na ninampenda na sina mtu mwingine kwani nilimtegemea yeye?
nifanyeje na ninampenda na sina mtu mwingine kwani nilimtegemea yeye?