witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
HR atamfanya vibaya kuliko hata huyo mzazi mwenzieAcha ajute inaonyesha hawajui vizuri wanaume, na ninavoona HR naye atamkimbia mazima
HR atamfanya vibaya kuliko hata huyo mzazi mwenzieAcha ajute inaonyesha hawajui vizuri wanaume, na ninavoona HR naye atamkimbia mazima
Vipi HR hana mke?Okay from what I know kugharamia na kuhudumia ni vitu viwili tofauti.
Hahaha kwahiyo alibadili fastaIlikuwa ni avatar ya mtoto mkali mpaka nilitamani nimfate PM ili nijitolee kumpa huyo mwanaye matunzo.
Rudi kwa mumeOkay from what I know kugharamia na kuhudumia ni vitu viwili tofauti.
Akikugharamia atakuharras vile apendavyo but akikihudumia atakuhandle kwa unyeyekevu ..
KabisaNa atamkimbia wanaume design ya HR hupenda wake za watu vile hawawagharamii
HuuhuuuhhuuUsisahau utamu wa pale kati wewe. Acha tuu ndio maana pamoja na danger ya kuunganishwa grid ya taifa watu tumo tuu.
Hebu funguka hapa?Okay from what I know kugharamia na kuhudumia ni vitu viwili tofauti.
Akikugharamia atakuharras vile apendavyo but akikihudumia atakuhandle kwa unyeyekevu ..
Kwanza unasema kutokana na presure kubwa unaijua mwenyewe! Sasa sijui umekuja tukusaidieje kama unaficha mengineHabari wapenzi.
Japo ni mgeni kiasi humu jamiiforums,nimeomba nipate ushauri wenu japo kiasi nipate mwelekeo.
Nina binti yangu 3yrs now,ambaye baba yake,yaani mzazi mwenzangu alikuwa akiendelea kumtunza mtoto wetu kwa Hali na mali baada ya Mimi kuacha kazi katika kampuni fulani.
Shinikizo la kuacha kwangu kazi lilitoka kwake baada ya mimi kuanzisha mahusiano mapya na HR wa kampuni mama na niliyokuwa nafanyia, nililazimika kuacha kazi hiyo kutokana na pressure kubwa (naijua Mimi)
Back to the point ni kwamba Mr kaacha ghafla kuinstall amount ambayo alishajicommit kussuport matunzo both me and my child..
I really don't know sijui ndo kunikomoa au vipi,? na kila nikijaribu kumpigia anakata simu na kutuma ujumbe yupo kwenye kampeni na mheshimiwa.
Kuhusu kumsimamia mwenyewe mwanangu kwa kweli inaniwia ngumu coz na mtoto wa dada yangu ambaye ninamsomesha shule ya gharama kiasi chake.
Samahinini kama uandishi wangu mbaya.
Mwenye ushauri wa kujenga pliz!
Anaanzaje kukosa mke sasaVipi HR hana mke?
Mpe pendekezo la kukuoa basi
Mjifunze kuheshimu watu wenye mchango kwenu na watoto wenu, Ongena na HR akusaidie!
😂😂Usingekuja hapa ningejimurder
Kazi kweli kweli.Anaanzaje kukosa mke sasa
MweeeWhat I know HR Ni cheo tu after hapo Ni mwanaume wa kawaida tu..nahitaji kumpenda Kama wengine..but dah
Habari wapenzi.
Japo ni mgeni kiasi humu jamiiforums,nimeomba nipate ushauri wenu japo kiasi nipate mwelekeo.
Nina binti yangu 3yrs now,ambaye baba yake,yaani mzazi mwenzangu alikuwa akiendelea kumtunza mtoto wetu kwa Hali na mali baada ya Mimi kuacha kazi katika kampuni fulani.
Shinikizo la kuacha kwangu kazi lilitoka kwake baada ya mimi kuanzisha mahusiano mapya na HR wa kampuni mama na niliyokuwa nafanyia, nililazimika kuacha kazi hiyo kutokana na pressure kubwa (naijua Mimi)
Back to the point ni kwamba Mr kaacha ghafla kuinstall amount ambayo alishajicommit kussuport matunzo both me and my child..
I really don't know sijui ndo kunikomoa au vipi,? na kila nikijaribu kumpigia anakata simu na kutuma ujumbe yupo kwenye kampeni na mheshimiwa.
Kuhusu kumsimamia mwenyewe mwanangu kwa kweli inaniwia ngumu coz na mtoto wa dada yangu ambaye ninamsomesha shule ya gharama kiasi chake.
Samahinini kama uandishi wangu mbaya.
Mwenye ushauri wa kujenga pliz!
Inaonyesha hana uzoefu hata kidogo wa mahusiano na wala hawajui kabisa wanaume. Me nimebaki speechless kwa majibu yake tuAcha ajute inaonyesha hawajui vizuri wanaume, na ninavoona HR naye atamkimbia mazima