Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Haya Watalaam nawasalimia kwanza nataka kuunda Computer yangu nauliza ipo bora kutumia CPU kati ya hizi mbili Model? AMD vs. Intel ? na Motherboard ipi iliyo Kiboko na Grphic Card kati ya hizi mbili ipi nzuri zaidi?
Nvidia VS ATI: Which is Better? Nawaombeni ushauri wenu Asanteni wote
Nvidia VS ATI: Which is Better? Nawaombeni ushauri wenu Asanteni wote