mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Wadau nawasalimu sana.
Kama ilivyo ada ya mbunge Nasari kuwadanganya wananchi Wa Meru juzi alipata aibu ya mwaka Mara baada ya ambulance alizozileta kimagumashi (inasemekana kuwa zilipakwa rangi kwa nje kuonyesha mpya) ziliharibikia barabarani akielekea njia ya Kikwe hapa Meru kuwaonyesha matunda ya ubunge wake kwa vipindi viwili.
Mosi mtoa taarifa Wa karibu Wa mbunge huyo kaniambia kuwa Mara baada ya kuharibikia njia ya Kikwe ilibidi kwa aibu awashe gari yake kuelekea mjini kumleta Fundi wake ambaye kimsingi ndiyo anayetengeneza magari yake huku akipandisha vioo vya gari wananchi wasimgundue kuwa ni yeye.
Aghalabu niliwahi kusema huku JF kuwa Nassary kiukweli amekuwa msanii haswaa kuelekea huu uchaguzi kwani hata gari hizi bado hajazikabidhi mamlaka husika lakini zimeanza kumwaribikia njiani na tukisema kuwa anaharibu legacy yake kama kijana kwa kuwa muongo kuna think tank wanakuja huku kunitukana kuwa Nina wivu naye ,kimsingi unaposimimia ombwe la hawa wabunge Wa CHADEMA utatukanwa sana na " wabeba mikoba" Wa BAVICHA.
Nawasilisha
Kama ilivyo ada ya mbunge Nasari kuwadanganya wananchi Wa Meru juzi alipata aibu ya mwaka Mara baada ya ambulance alizozileta kimagumashi (inasemekana kuwa zilipakwa rangi kwa nje kuonyesha mpya) ziliharibikia barabarani akielekea njia ya Kikwe hapa Meru kuwaonyesha matunda ya ubunge wake kwa vipindi viwili.
Mosi mtoa taarifa Wa karibu Wa mbunge huyo kaniambia kuwa Mara baada ya kuharibikia njia ya Kikwe ilibidi kwa aibu awashe gari yake kuelekea mjini kumleta Fundi wake ambaye kimsingi ndiyo anayetengeneza magari yake huku akipandisha vioo vya gari wananchi wasimgundue kuwa ni yeye.
Aghalabu niliwahi kusema huku JF kuwa Nassary kiukweli amekuwa msanii haswaa kuelekea huu uchaguzi kwani hata gari hizi bado hajazikabidhi mamlaka husika lakini zimeanza kumwaribikia njiani na tukisema kuwa anaharibu legacy yake kama kijana kwa kuwa muongo kuna think tank wanakuja huku kunitukana kuwa Nina wivu naye ,kimsingi unaposimimia ombwe la hawa wabunge Wa CHADEMA utatukanwa sana na " wabeba mikoba" Wa BAVICHA.
Nawasilisha