kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
wahuni ni nyinyi mlioleta tricycles zibebe akins mama wajawazito, yaani mkiwaza kuiba hata utu unawatokaCHADEMA ni wahuni wahuni hivi ...
wahuni ni nyinyi mlioleta tricycles zibebe akins mama wajawazito, yaani mkiwaza kuiba hata utu unawatokaCHADEMA ni wahuni wahuni hivi ...
Acha uongo wee mwanamke.
Weka picha mkuu zinafanya kazi wapi.
Nadhani Gari Kuharibika Siyo Jambo Geni
Lete Hoja Kuhusu Hizo Gari Ikiwa Kama Kweli Zilipakwa Rangi Na Huko Ziliko Nunuliwa
Unajua Lolote
Ya ccm ambayo haijaharibika ni ipi? Kwani kununua gari used ni kitu kigeni mpk boxa yako used huji kuitangaza hapa
aweke picha likitengenezwa.Hivi kama gari inafanyakazi au haifanyikazi picha inaweza kusaidia kuupata ukweli ?.
Hizo gari kanunua kwa pesa zake,mbona hamuhoji boti mbovu na mabehewa feki yaliyonunuliwa kwa pesa za umma?Sasa mkuu magari ndio yameletwa juzi halafi yameshaaanza kuharibika ,sasa yatamudu kweli kazi ,mama zetu hawatafia barabaran kweli
Weka picha mkuu zinafanya kazi wapi.
Tena abahatiki awa wa kiume akiwa wa Kikeni sijui.Ila kama ni wa kiume akaulize dada yake kama hana Bikini used!
Mijitu mingine ni wapuuzi sana! Eti used na mbovu hiyo nzima baba yake anayo au uliona lini Lumumba wamepata kuinunua zaidi ya kutuibia kila mara pamoja na kukata 13% Kodi PAYE kwa kinachozidi 170 .000
Hizo gari kanunua kwa pesa zake,mbona hamuhoji boti mbovu na mabehewa feki yaliyonunuliwa kwa pesa za umma?
Sasa mkuu magari ndio yameletwa juzi halafi yameshaaanza kuharibika ,sasa yatamudu kweli kazi ,mama zetu hawatafia barabaran kweli