Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ambulance vibajaji 400 kwa serikali inayomiliki magari 40,000!
Huu ni ubinafsi mkubwa kwa viongozi wetu, na pia ni dharau kubwa kwa Watanzania.
Hicho kipikipiki mgonjwa anabanwa kama gunia. Vumbi, jua, mvua, kelele, na ghasia zote zinamwishia yeye
Huu ni ubinafsi mkubwa kwa viongozi wetu, na pia ni dharau kubwa kwa Watanzania.
Hicho kipikipiki mgonjwa anabanwa kama gunia. Vumbi, jua, mvua, kelele, na ghasia zote zinamwishia yeye