Chief Mtangi
Member
- May 11, 2020
- 74
- 119
Dunga yupo ila sidhani kama anafanya tena production katika ile intensity, mara ya mwisho kumsikia ni kwenye nyimbo ya Galatone "Samaki" nahisi pia alihusika 100% kutengeneza pia back vocals zake zinasikika, lakini pia nimemuona kwenye videos kadhaa za wanamuziki underground wa Tanga (even Galatone anatokea huko) lakini nadhani now ameweka makazi Tanga.