Halafu sisi binadamu ni wanafik sana.Tunavyoukomaliaga huo msamaha utafikir katukosea sisi na sisi ndio wenye funguo za mbinguni.Ni kweli mkuu sometimes we need to be +ve hasa pale mtu anapoomba msamaha.
Huyo binti ni jasiri, mabinti wengi huishia kujiua au kua mraibu wa dawa za kulevya kwasababu ya stress.
Kumbe wengi wetu wana mabaya mengi ya kutisha huko sirini ni vile tu hayatajwi hadharani.
Yani utakuta mtu anamroga mwenzie asipate rizki nae anajiona mtakatifu kuliko Ambaer Ruty.Upuuzi mtupu sisi