Wamehukumiwa kwa mujibu ya sheria zilizipoUnajua yanayofanyika kwa siri?Mimi naungana na anayesema kosa lilipaswa kuwa kusambaza video na si hilo la kuingiliwa kinyume!
Kama tunaogopa Sodoma na Gomora basi maana yake serikali ina dini!Kwa maana hiyo ili kuzuia kabisa watu wawe wanapimwa tupu zao za nyuma kama wameingiliwa na watakaokutwa weingiliwa washitakiwe na kufungwa!Hapa ni kama tunataka kutokomeza kabisa mchezo huo na sio maigizo!